mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Kwani wapi katukana waislamu/uislamu?Huyu dada anaongoza group la ant-Muslim, Tz is a secular state, huo ujinga wake wa kuwatukana Waislam angeuacha huko huko Australia, afunzwe adabu kidogo siku nyingine wajinga wa aina yake hawataisogolea Tz.
Nashindwa kuelewa kama hiyo Faithless Hijabi aliianzisha Tanzania au huko kwao Australia. Matatizo yanayopiganiwa na asasi yake kama yapo Tanzania, ni to the minimum. As a former Shia believer, angeelekeza harakati zake Iran angeeleweka zaidi.Huyu dada anaongoza group la ant-Muslim, Tanzania is a secular state, huo ujinga wake wa kuwatukana Waislam angeuacha huko huko Australia, afunzwe adabu kidogo siku nyingine wajinga wa aina yake hawataisogolea Tanzania.
You mean rationale? don't write 'rationality' of a decision ..........There you go, AGAIN! But I know, you still wouldn't admit the "feeble" education causing all this.
What makes an issue become a "National debate"? Why would one have a "feeble mind" by simply questioning the rationality of a decision taken by a dictator?
Kuna watu hapa JF wana shida binafsi za maisha sasa wako tayari kusaidiwa matatizo yao hata na mtu bwege tu! Wanamtetea dada huyu bila hata kujua ubora wa akili yake.Huyu dada anaongoza group la ant-Muslim, Tanzania is a secular state, huo ujinga wake wa kuwatukana Waislam angeuacha huko huko Australia, afunzwe adabu kidogo siku nyingine wajinga wa aina yake hawataisogolea Tanzania.
Haya tena suala hili la mobile sim card ni mtihani mwingine kwa waTanzania.the final issue was the use of a mobile sim card registered in a family member’s name rather than her own name, under legislation that the group said “has been used to persecute other high-profile cases”.
Kama mtu anaona habari si muhimu, kuna uhuru wa kuiruka asiisome.There you go, AGAIN! But I know, you still wouldn't admit the "feeble" education causing all this.
What makes an issue become a "National debate"? Why would one have a "feeble mind" by simply questioning the rationality of a decision taken by a dictator?
Nani kakwambia huyu ni mzungu? Unakimbilia kusaidiwa matatizo tu! Huna hoja.Wacha wazungu nao wajue ubaya wa Jiwe kwa vitendo.
Anashikiliwa na police kwa kukosoa jinsi Rais anavyoshughulikia Corona? Mbona wengi wamekosoa lakini hawakukamatwa?Mwanamke wa Australia amekamatwa na kushtakiwa nchini Tanzania muda mfupi baada ya kukosoa jinsi Rais wa Tanzania anavyoshughulikia janga la COVID-19 katika chapisho la mitandao ya kijamii.
Zara Kay, raia wa Australia ambaye alizaliwa nchini Tanzania, aliambiwa afike kituo cha polisi katika jiji la Dar es Salaam mnamo Desemba 28 kabla ya kuzuiliwa kwa saa 32.
======
An Australian woman has been arrested and charged in Tanzania shortly after criticising the Tanzanian President's handling of the COVID-19 pandemic in a satirical social media post.
Zara Kay, an Australian citizen who was born in Tanzania, was told to attend a police station in the city of Dar es Salaam on December 28 before being detained for 32 hours.
Australian citizen Zara Kay runs the women's rights group Faithless Hijabi SUPPLIED
Authorities confiscated the Monash University-educated activist's Australian passport before bailing her on December 29.
In a tweet posted on her account on January 1, Ms Kay said: "I'm out on bail, thank you all for the support. I'm still quite traumatised from everything. Please don't stop fighting for me. They can try shaking me, but they won't break me".
The arrest, first reported by the ABC, has sparked renewed concern about Tanzania's crackdowns on activists critical of the government.
View attachment 1666595View attachment 1666596
Vya nchi gani vinavyotumia ujanja boss? US? UK? Kenya? Au wapi huko ambako sisi hatuwahi kufika? Nenda ukakabwe shingo hadi roho itoke, ndugu zako wabaki wanalilia Afrika yetu.Vyombo vya usalama Tanzania vinafanya kazi kipumbavu sana. Ndio madhara ya kuajiri UVCCM.
KURA MMESHAIBA HATA MKIKOSOLEWA NYIE ENDELEENI KULA KUKU KWA MRIJA.
Tajijua na ujuaji wake bado LissuPasipoti mbili kupitia uraia pacha kwa diaspora ya Tanzania bado ni issue kubwa, unaweza kuingia matatani Tanzania.
Kuna watu bado wako kwenye kampeni wakati hatuna tena uchaguzi hivi karibuni. Hawana hata muda wa kujiuliza na akili gani huyo anayekamatwa. Eti anaitwa mwanaharakati! Harakati gani, kwani ana akili kuliko wa-TZ wote?Anashikiliwa na police kwa kukosoa jinsi Raisi anavyoshughulikia Corona? Mbona wengi wamekosoa lakini hawakukamatwa?
Huyo ni half-caste wa kizungu kwahiyo sio mbaya maana na damu ya kizunguNani kakwambia huyu ni mzungu? Unakimbilia kusaidiwa matatizo tu! Huna hoja.
Usingejua hivyo kama angekuwa ndani ya 'Hijab'!ila Zara mzuri daah!