Mwanaharakati Zara Kay akabiliwa na mashtaka ya kuwa na uraia pacha nchini Tanzania. Hati yake ya kusafiria yachukuliwa na Vyombo vya Usalama

Mwanaharakati Zara Kay akabiliwa na mashtaka ya kuwa na uraia pacha nchini Tanzania. Hati yake ya kusafiria yachukuliwa na Vyombo vya Usalama

Kaambieni kama kanaona hapa nchi Rais anahatarisha raia kwa njia anazotumia kupambana na corona basi kaende kwao huko kuna njia nzuri sana za kupambana na corona na wazungu wenzie hawafi kabisa.
 
Kwani wapi katukana waislamu/uislamu?
Hivi uwezo wa KUCHANGANUA maswala/mambo hapa TZ umetorokea wapi?
Kupoteza uwezo wa kuchambua na kuchanganua maswala ni ugonjwa mbaya zaidi ya hata corona.
Mtu kama huyo hapo uliyemjibu sio kukosa uwezo wa kuchanganua tu, ila anaona ataonekana vizuri kwa kupindishi habari kivyake.
 
Mwanamke wa Australia amekamatwa na kushtakiwa nchini Tanzania muda mfupi baada ya kukosoa jinsi Rais wa Tanzania anavyoshughulikia janga la COVID-19 katika chapisho la mitandao ya kijamii.

Zara Kay, raia wa Australia ambaye alizaliwa nchini Tanzania, aliambiwa afike kituo cha polisi katika jiji la Dar es Salaam mnamo Desemba 28 kabla ya kuzuiliwa kwa saa 32.

======
An Australian woman has been arrested and charged in Tanzania shortly after criticising the Tanzanian President's handling of the COVID-19 pandemic in a satirical social media post.

Zara Kay, an Australian citizen who was born in Tanzania, was told to attend a police station in the city of Dar es Salaam on December 28 before being detained for 32 hours.

Australian citizen Zara Kay runs the women's rights group Faithless Hijabi SUPPLIED
Authorities confiscated the Monash University-educated activist's Australian passport before bailing her on December 29.

In a tweet posted on her account on January 1, Ms Kay said: "I'm out on bail, thank you all for the support. I'm still quite traumatised from everything. Please don't stop fighting for me. They can try shaking me, but they won't break me".

The arrest, first reported by the ABC, has sparked renewed concern about Tanzania's crackdowns on activists critical of the government.
View attachment 1666595View attachment 1666596
Aondoke sijui nani kamtuma. Baada ya kuona wanashindwa kupata vibaraka wakuwatumikisha wanakuja wenyewe.
 
Mbona mnaficha ukosoaji aliofanya...kama kweli...ukosoaji huo hauna mushkeli! MNAISHIA kuandika namna ilivyodhibitiwa Covid19!
 
Kama zisingekuwa harakati asingekamatwa.
Mitandao inaumiza Sana.
Maana unaweza ukamtukana hata rais.
Wanaharakati wa kupost twitter,

Siku zinakwenda mbio sana,

Sasa kama kupost twitter nako nikuwa mwanaharakati kina Che guevara na Fidel sijui tuwaite kina nani??
 
Sioni sababu za serikali kuendelea kukimbizana na hawa wana harakati maana hawana effect yeyote waachwe waseme, nikupoteza muda sana kushughulika na watu ambao wanasema tuuu, waachwe waseme kama kuna hoja au upotoshwaji ujibiwe
 
sioni sababu za serikali kuendelea kukimbizana na hawa wana harakati maana hawana effect yeyote waachwe waseme ,,, nikupoteza muda sana kushughulika na watu ambao wanasema tuuu,,,,,,,, waachwe waseme kama kuna hoja au upotoshwaji ujibiwe
Uko sawa kabisa kama hawazuii wizi wao wa kura au ufisadi au uuaji wao, ni kuachana nao tu, sisi tuendelee wizi wetu, ufisadi wetu na kuua wtz wenzetu as long hakuna wa kututoa madarakani.
 
Wanaharakati wa kupost twitter,

Siku zinakwenda mbio sana,

Sasa kama kupost twitter nako nikuwa mwanaharakati kina Che guevara na Fidel sijui tuwaite kina nani??
jiulize ilikuwepo hii platform mbogamboga acheni kukalili maisha
 
23 Sept 2018

A conversation with a Tanzanian Australian ex Muslim, Zara Kay


Join me in a conversation with a Tanzanian- Australian Ex-Muslim Zara Kay in her journey from Islam to reason.

Source : Harris Sultan
 

PLEASE HELP! Zara Has Been ARRESTED IN TANZANIA



Source : Jimmy Snow
 
FBA14290-6838-4C5C-990F-953B4507E256.jpeg


1E091E4D-BBE9-4E09-A550-BA6B6E12607F.jpeg


Huyo dada wazazi wake wanaishi Tanzania, ndugu zake wanaishi Tanzania, kazaliwa Tanzania na yeye ni mtanzania (mwenye asili ya Malaysia), huo uraia mwingine ni waki-diaspora tu.

Hila anaonekana mtambo kweli kweli mtu anatembelea wazazi wake bila ya kujali covid anajichanganya mitaani bila ya kujali covid tena juzi tu mwezi wa 11.

Halafu wakienda Twitter wanaanza andika wazimu wao kama ilivyo kwa wanaharakati wote wakitanzania, awaishi maisha yao ya kila siku kwa kanuni wanazaoandika Twitter; wengi wazimu tu ila wa huyu dada kama vile umezidi.
 
Akae huko,na akitoka wamweke tena hukohuko ajue sisi ni dona kantri asitupangie.
Wabeja sana jamani inhiiii😂
 
Back
Top Bottom