Yanamhusu nini wakati sio raia wa TanzaniaOoh kosa lake kumbe ni kukosoa serikali inavyoshughulikia janga la korona
Hiyo campaign ya X-Muslim ndio HOJA ya msingi. Hizo tweeter na ukosoaji ni vionjo tu. Hii nchi inatafutwa na mabeberu kwa kila hali. Waliberali wa UFIPA huwa mnakariri tu. Mwacheni ashughulikiwe mpaka genye ziishe ndio aende. Nyambaff snitch shombe wa kiaustraliaZara Kay, Australian citizen and campaigner for ex-Muslim women arrested in Tanzania | ABC News
Published on 3 Jan 2021
Supporters of Ms Kay say she was summoned to a police station in the city of Dar el Salaam on December 28, then held in custody for 32 hours.
Ms Kay is understood to have been charged over a satirical social media post critical of the Tanzanian President's handling of COVID-19, as well as not returning her Tanzanian passport after gaining Australian citizenship.
Ms Kay renounced her Islamic faith and campaigns globally for women's rights. She's the founder of Faithless Hijabi, which supports women who have renounced their faith them. FDAT has confirmed it's providing an Australian national with consular assistance in Tanzania.
Source : ABC NEWS (AUSTRALIA)
More : Zara Kay, Australian citizen and campaigner for ex-Muslim women arrested in Tanzania | ABC News - The Global Herald
More : Australian citizen and campaigner for ex-Muslim women Zara Kay arrested in Tanzania
More : Concerns grow about outbreak in west as case numbers rise – as it happened
The Australian government is providing consular assistance to Zara Kay, 28, the founder of Faithless Hijabi, a group set up two years ago to support women who are ostracised or face violence if they leave or question Islam.
Kay tweeted on 28 December she was “going into the police station because someone reported me in for blasphemy” and a few days later told her supporters she was out on bail but “still quite traumatised from everything”.
“Please don’t stop fighting for me,” she wrote. “They can try shaking me, but they won’t break me.”
Hiii issue utatu cost sana.Mwanamke wa Australia amekamatwa na kushtakiwa nchini Tanzania muda mfupi baada ya kukosoa jinsi Rais wa Tanzania anavyoshughulikia janga la COVID-19 katika chapisho la mitandao ya kijamii.
Zara Kay, raia wa Australia ambaye alizaliwa nchini Tanzania, aliambiwa afike kituo cha polisi katika jiji la Dar es Salaam mnamo Desemba 28 kabla ya kuzuiliwa kwa saa 32.
======
An Australian woman has been arrested and charged in Tanzania shortly after criticising the Tanzanian President's handling of the COVID-19 pandemic in a satirical social media post.
Zara Kay, an Australian citizen who was born in Tanzania, was told to attend a police station in the city of Dar es Salaam on December 28 before being detained for 32 hours.
Australian citizen Zara Kay runs the women's rights group Faithless Hijabi SUPPLIED
Authorities confiscated the Monash University-educated activist's Australian passport before bailing her on December 29.
In a tweet posted on her account on January 1, Ms Kay said: "I'm out on bail, thank you all for the support. I'm still quite traumatised from everything. Please don't stop fighting for me. They can try shaking me, but they won't break me".
The arrest, first reported by the ABC, has sparked renewed concern about Tanzania's crackdowns on activists critical of the government.
View attachment 1666595View attachment 1666596
Wewe vyombo vyako vya usalama vinafanya kazi kwa akili?Vyombo vya usalama Tanzania vinafanya kazi kipumbavu sana. Ndio madhara ya kuajiri UVCCM.
KURA MMESHAIBA HATA MKIKOSOLEWA NYIE ENDELEENI KULA KUKU KWA MRIJA.
Ahaaa sikio la kufa nyie,ina maana mnasupport ubepari ndiyo maana hamkubariki kamweU communist ni janga popote duniani
Ni upumbavu kusema namna mbaya ya kushughulikia janga la COVID-19 ilihali hata yeye hajaona watu waliokufa na huo ugonjwa,sasa wale walioshughulikia vyema na wau wao wamekufa kwa wingi,na sisi ambao Rais wetu kashughulikia vibaya kama asemavyo hatujakufa,ni nani aliye sawa?Mwanamke wa Australia amekamatwa na kushtakiwa nchini Tanzania muda mfupi baada ya kukosoa jinsi Rais wa Tanzania anavyoshughulikia janga la COVID-19 katika chapisho la mitandao ya kijamii.
Zara Kay, raia wa Australia ambaye alizaliwa nchini Tanzania, aliambiwa afike kituo cha polisi katika jiji la Dar es Salaam mnamo Desemba 28 kabla ya kuzuiliwa kwa saa 32.
======
An Australian woman has been arrested and charged in Tanzania shortly after criticising the Tanzanian President's handling of the COVID-19 pandemic in a satirical social media post.
Zara Kay, an Australian citizen who was born in Tanzania, was told to attend a police station in the city of Dar es Salaam on December 28 before being detained for 32 hours.
Australian citizen Zara Kay runs the women's rights group Faithless Hijabi SUPPLIED
Authorities confiscated the Monash University-educated activist's Australian passport before bailing her on December 29.
In a tweet posted on her account on January 1, Ms Kay said: "I'm out on bail, thank you all for the support. I'm still quite traumatised from everything. Please don't stop fighting for me. They can try shaking me, but they won't break me".
The arrest, first reported by the ABC, has sparked renewed concern about Tanzania's crackdowns on activists critical of the government.
View attachment 1666595View attachment 1666596
We kama huna uzalendo na nchi kila neno kweni ni jema hamia Rwanda au popote unapoona panakufaaVyombo vya usalama Tanzania vinafanya kazi kipumbavu sana. Ndio madhara ya kuajiri UVCCM.
KURA MMESHAIBA HATA MKIKOSOLEWA NYIE ENDELEENI KULA KUKU KWA MRIJA.
Si mzungu, ni muhindi...msinashir. wazee wake masinashir. Nadhani ni katika madhehebu ya Shia. Sheria ni bora ifuatwe lakini kiukweli huyu ni afiriti. Yaani bora angetoka kwenye dini mwenyewe halafu akakaa kimya, ila sasa tatizo linakuja pale anapotumia uhuru wake na pumzi alizopewa kuunda kikundi cha kuitukana na kuikashifu dini. Kisa yuko uzunguni! Mbali ya kuitukana dini anatetea mashoga wa aina yote! Yaani kaamua kukufuru na kukashifu na kuunda gurupu ya watu wakufuru na yeye! Serikali ya Tanzania imuache tu na kufuru zake kwa kuwa haina hukumu itakayomtosha huyu. Huyu hukumu yake atapewa na aliemuumba. Soon inshaAllah.Huyo ni half-caste wa kizungu kwahiyo sio mbaya maana na damu ya kizungu
Kiongozi wako mwenyewe bepariAhaaa sikio la kufa nyie,ina maana mnasupport ubepari ndiyo maana hamkubariki kamwe
Yaani leo umeongea la maana kabisasioni sababu za serikali kuendelea kukimbizana na hawa wana harakati maana hawana effect yeyote waachwe waseme ,,, nikupoteza muda sana kushughulika na watu ambao wanasema tuuu,,,,,,,, waachwe waseme kama kuna hoja au upotoshwaji ujibiwe
utahama wewe sio mimi. Hatukimbii waovu, wao ndio watakimbia hadi vivuli vyao.We kama huna uzalendo na nchi kila neno kweni ni jema hamia Rwanda au popote unapoona panakufaa
Endeleeni kuteka, kutesa na kuua. Huo ndio uzalendo.Wewe vyombo vyako vya usalama vinafanya kazi kwa akili?
Ukileta uchochezi unashughulikiwa ipasavyo,ebu wewe nenda Australia ukosoe wanavyoshughulikia covid 19 kama utakuwa salama.
Roho ya chuki haikujengi bali itakunyongonyeza kiakili na kimwili