Mwanaharakati Zara Kay akabiliwa na mashtaka ya kuwa na uraia pacha nchini Tanzania. Hati yake ya kusafiria yachukuliwa na Vyombo vya Usalama

SN.BARRY

Hapo ulipo tu uko mafichoni jitokeze hadharani,lema kakimbia sembuse wewe mtashikishwa adabu awamu hii
 
Endeleeni kuteka, kutesa na kuua. Huo ndio uzalendo.
Wamemuua nani bwana acha habari za kulishwa mambo.

Toa ushahidi hadhari unaoishawishi jamii kuwa watu wametekwa,wameuawa,wameteswa,n.k uone kama jamii haitasimama.

Tatizo lenu mmekaririshwa na mnaowaita makamanda wenu waliojipa ajira kupitia nyie wapiga debe wao.

Changanya na za kwako mzee maisha ndiyo hayahaya hata ulaya nyie mpo na ndiyo mlio masikini wa kutupa kwa sababu hamna kazi ya kufanya bali kukosoa tu kila kukicha.
 
sioni sababu za serikali kuendelea kukimbizana na hawa wana harakati maana hawana effect yeyote waachwe waseme ,,, nikupoteza muda sana kushughulika na watu ambao wanasema tuuu,,,,,,,, waachwe waseme kama kuna hoja au upotoshwaji ujibiwe
Kwani kashikwa kwa sababu za kihuamiaji au harakati?

Kama aliingia nchini kwa visa, je visa yake inamruhusu kufanya hizo harakati zake TZ?
 
Tanzania haina uraia pacha. Ukisha kuwa raia wa nchi nyingine wewe sio mtanzania tena hata Kama umezaliwa hapa.
 
23 Sept 2018

A conversation with a Tanzanian Australian ex Muslim, Zara Kay

Join me in a conversation with a Tanzanian- Australian Ex-Muslim Zara Kay in her journey from Islam to reason.

Source : Harris Sultan
There's no such a thing as Australian-Tanzanian. Ukishakana uraia wa TZ wewe sio mtanzania tena hata Kama umezaliwa TZ.
 
Hujijui uko upande gani mzee unafuta upepo tu kupinga kila kitu
Swali ni kuwa, kwanini mtu akihoji utendaji au hatua kiongozi sana. Ama zake !!

Tuwe na viongozi wanaokubali kuhojiwa utendaji wao. Sisi ni wanaadamu
 
Maskini ni wewe unayelipwa elfu 7 kwa siku ili umsifie bwana wako/malaika kutoka Chato mitandaoni.

Mke na watoto wako wanategemea utoe sifa za uongo mitandaoni ili waende chooni.

So sad!
 
Kwani wapi katukana waislamu/uislamu?
Hivi uwezo wa KUCHANGANUA maswala/mambo hapa TZ umetorokea wapi?
Kupoteza uwezo wa kuchambua na kuchanganua maswala ni ugonjwa mbaya zaidi ya hata corona.
Inaonekana ndo unasoma habari yake hapa, mfutilie zaidi utajua mengi kuhusu huyo dada
 
Maskini ni wewe unayelipwa elfu 7 kwa siku ili umsifie bwana wako/malaika kutoka Chato mitandaoni.

Mke na watoto wako wanategemea utoe sifa za uongo mitandaoni ili waende chooni.

So sad!
We unadhani watu bado wanaishi kwa propaganda kama wewe.

Mimi na wewe nani anaishi kwa kusifia ujinga kwenye mitandao?
 
We unadhani watu bado wanaishi kwa propaganda kama wewe.

Mimi na wewe nani anaishi kwa kusifia ujinga kwenye mitandao?
Familia yangu haiishi kwa kutegemea siasa na propaganda za kizushi kama yako
 
Kwani Uvccm ni akina nani?
Vyombo vya usalama Tanzania vinafanya kazi kipumbavu sana. Ndio madhara ya kuajiri UVCCM.
KURA MMESHAIBA HATA MKIKOSOLEWA NYIE ENDELEENI KULA KUKU KWA MRIJA.
Acha ubaguzi na lugha za kashfa
 
Kukana dini hadharani au kusimanga dini ni kosa Tanzania.
Tanzania ni nchi ya kisekula / secular haina dini na raia wake wapo huru kuchagua au kubadili imani wakati wowote iwe dini za kuja au mahoka wa mababu zetu. Tuheshimu huru huu.

Published on 28 Dec 2020
Dar es Salaam, Tanzania

MAZINGE AMSILIMISHA BINT WA MIAKA 19 BAADA KUPIGA MADA ILIYOSISIMUA DUNIA NZIMA VIWANJA VYA PTA JIJINI DAR.​


Source : saimu gwao online tv
 

Published on 20 Feb 2020

VIDEO FUPI: ''Nilikuwa Muislamu Nimeokoka / Kituo kimenisaidia'' Salome Rashidi ~ Tz823


Source : Shalom Temple Kahama
 
====
An Australian woman has been arrested and charged in Tanzania shortly after criticising the Tanzanian President's handling of the COVID-19 pandemic in a satirical social media post
Huu ni uchochezi, huyu siyo Australian, ni Tanzanian
 
Sisi ni ndugu wamoja, dini na imani tofauti haziwezi kutufarakanisha

MWINJILISTI DANIEL MWANKEMWA NA WENZAKE WALIPOTOA NENO KTK KONGAMANO LA WAHADHIRI WA KIISLAMU DEC 27, 2020

Source : saimu gwao online TV
 
Aende kwao kama anaona kuna Corrona huku aende wanakohandle vizuri kama huko Ulaya maana hakuna aliyejufa huko.
maana hapa Yesu atosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…