Mwanaharakati Zara Kay akabiliwa na mashtaka ya kuwa na uraia pacha nchini Tanzania. Hati yake ya kusafiria yachukuliwa na Vyombo vya Usalama

ukiikosoa serikali hakikisha unakuwa uko perfect kwa kila kitu, tofauti na hapo utakuwa unajichimbia kaburi wewe mwenyewe.

wanatafita kwenye udhaifu ili wakuumize
 
ukiikosoa serikali hakikisha unakuwa uko perfect kwa kila kitu, tofauti na hapo utakuwa unajichimbia kaburi wewe mwenyewe.

wanatafita kwenye udhaifu ili wakuumize
Kwan wameeleza kakamatwa kwa kosa gani?
 
Hakutoa taarifa popote kapoteza passport ya Tanzania. Tunachojua anajua ilipo, jukumu la kuthibitisha vinginevyo liko upande wake.

Revoke her visa.
Deport her forthwith.
Prohibit re-entry for 10 years.

If not rehabilitated then, declare permanent persona non grata.
 
Ninacho mpendea Zara ni ujasiri wake
 
04 January 2021

Inspekta Generali wa Polisi asema suala la Zara Kay lipo Idara ya Uhamiaj
i


Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro akijibu maswali, athibitisha kuwa mwanaharakati maarufu Zara Kay suala lake halipo mikononi mwa polisi, bali linashughulikiwa na Idara ya Uhamiaji.

IGP Simon Sirro asema Zara Kay aliitwa Polisi kuhojiwa lakini suala lake likaonekana ni la Uhamiaji zaidi, hivyo kwa sasa Idara ya Uhamiaji yaani Immigration inashughulikia jambo hilo.
 
Mambo mengine yanatutia aibu tu kama nchi!
 
Sasaivi wanatuweka kundi moja na Iran na North Korea
 
Halafu utasikia aah, Kiranga rudi Tanzania ujenge nchi.

Kwa ujinga huu?
 
Atoe umalaya wake wa kisiasa huko sisi hatuhitaji mkimbizi kutufundisha chochote.
 
Unampenda kwa sababu ya kutukana na kumkashifu mungu?
Hiyo ni mawazo yako, mimi nimesema she is brave. unaweza fatilia page yake insta ukajifunza mawili matatu.
 

Attachments

  • IMG_1070.jpg
    49 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…