Mwanajeshi ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kumuua mtalaka wake na Mwanajeshi

Hakuna rais aliewahi kusaini hukumu ya kifo tangu sheria ilipotungwa hadi leo hajanyongwa hata mtu mmoja kwa saini ya rais, km yupo taja hio kesi
Vipi Miami ndio aliyemuua Kleruu? Nasikia alinyongwa...hebu tafuta habari zake kupata uhakika..
 
Hakuna rais aliewahi kusaini hukumu ya kifo tangu sheria ilipotungwa hadi leo hajanyongwa hata mtu mmoja kwa saini ya rais, km yupo taja hio kesi
Adhabu hiyo ya kifo ilitekelezwa mara moja kwani Mwalimu NYERERE alisaini hati ya kifo cha MWAMWINDI
. Hayo hiyo, ilikuwa ni moja ya hati tatu za vifo zilizosainiwa na Mwalimu NYERERE kuidhinisha kunyongwa kwa binadamu katika uongozi wake wa miaka 24 katika taifa hili.
 
...Miaka Mitatu baada ya kutalakiana! Ina maana Marehemu Vero allisha Move on lakini Mtalaka Wake alikuwa najamove on...sa Vero alipopata Mshikaji Mwingine, Matokeo ndio yakawa hayo...!!
 
Pumzika Vero. Sijui ulimfanya nn x wako. RIP soja mwingine.

Utakua uliingilia mapenzi ya Vero na Batsin wakaachana. Sisi tumejifunza kwamba tusioe.
Kwa tunayoyaona sasa huku katika Kambi zao na Jinsi hawa Majamaa ( Wajeda ) wanavyotombeana Kutwa Wake zao tegemeeni Taarifa nyingi za Mauwaji ya Kutisha yatokanayo na Visasi na Machungu.
 
duhh, ss huyo askari mwenzie aliemuua ilikuaje??

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
So sad !! This trend is here to stay !!!
 
Hii quote kwenye thread mojawapo humu jamii forum
 
Wakati tukio linatokea nilikuwa kule mkoani hadi nilishamsahau huyu jamaa.
 
Yes, naikumbuka hio kesi
 
Hakuna rais aliewahi kusaini hukumu ya kifo tangu sheria ilipotungwa hadi leo hajanyongwa hata mtu mmoja nnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn
 
Adhabu hiyo ya kifo ilitekelezwa mara moja kwani Mwalimu NYERERE alisaini hati ya kifo cha MWAMWINDI
. Hayo hiyo, ilikuwa ni moja ya hati tatu za vifo zilizosainiwa na Mwalimu NYERERE kuidhinisha kunyongwa kwa binadamu katika uongozi wake wa miaka 24 katika taifa hili.....(Jamii forum)
 
Huku vijiweni tunaaminishana wajeda wanaruhusiwa kuua.Sasa imekuwaje tena!!
 
Kijana
Hakuna rais aliewahi kusaini hukumu ya kifo tangu sheria ilipotungwa hadi leo hajanyongwa hata mtu mmoja kwa saini ya rais, km yupo taja hio ke
Kijana acha kupotosha uma..Kipind cha utaifishaji wa mashamba kuna raia alimuua mkuu wa mkoa wa iringa Dr.kleruu.. raia alinyongwa na nyerere ndo mana imemuwia vgum kupata utakatifu kisa kaua..Dig more bro before u conclude
 
Ulaya na Marekani mbona hawazitumii AK 47, na SMG kwenye vita?
Marekani na baadhi ya nchi zilizoendelea, hutengeneza silaha zao, hivyo huzipa majina yao, ila ukizichunguza vizuri, uwezo wake hautofautiani sana.
Kama ilivyo kwa pisto, zinatofautiana majina tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…