Mwanajeshi ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kumuua mtalaka wake na Mwanajeshi

Mwanajeshi ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kumuua mtalaka wake na Mwanajeshi

Basi nimeshakuelewa unamaanisha kombeo ile Daudi alitumia kumuua Goliati
Eee wala sio hio namaanisha 👇rifle
Screenshot_20221005-194526.png
 
Vero alipata anacho stahili. Yaelekea vero alipata hawara mwenye kujiweza.

Kadai talaka akapata, akadai amri ya kuwatunza watoto akapata.
Tena akaja kwenye lindo la jamaa kwa dharau. Risasi akapa. Hongera mjeda hata ukinyongwa, umekufa kishujaa
 
Haipo hadi rais asaini unyongwe

Kwa Tanzania ni kiini macho tu haitekelezwi hakuna rais anaekubari kutia saini ili mtu auwawe kwa kunyongwa, maana tangu itungwe hio sheria mwaka 1989 hadi leo hakuna kiumbe msumbufu alimaarufu km mhalifu alienyongwa

Kwa hio mtu akipewa adhabu ya kunyongwa magereza yana-assume km kapewa adhabu ya kifungo cha maisha

Ukija upande wa haki za binadamu na baadhi ya watu wa masuala ya kisheria husema ni kheri mtu km huyo afanye kazi akiwa kwenye usimamizi uko magereza kuliko kumuua ndio maana hua hawauwawi kwa kunyongwa ila wanafungwa maisha

Nchi zinazotekeleza hizo sheria kwa Africa nchi inayoongoza ni Misri ambapo mpaka watu 150 hunyongwa kwa mwaka kwa makosa tofauti

Nchini nyingine yenye kutekeleza kwa ukali ni kutoka bara la Asia ambayo ni China inasemekana kwa mwaka watu 1000 hunyongwa au hupigwa risasi China km adhabu ya kifo kwa makosa tofauti na kati ya hayo ni kosa la kubeba na kusafirisha Madawa ya Kulevya

Napita..
Hata Marekani adhabu ya kifo bado ipo ila wao wamestaarabika kidogo hawanyongi kwa kamba ila wanadunga mtu sindano ya sumu..
 
Hio silaha sio mchezo njugu zake hua zinatembea km hazitembei yaan ukibonyeza tu hizi hapa na speed yake range per distance inapenya hadi upande wa pili
Is All weather assault gun iwe inelowa,matope,barafu,joto Kali, haiwezi kujam, simple and easy to use,is a light machine gun, Hata mtoto wa miaka 12, anatumia
 
Haipo hadi rais asaini unyongwe

Kwa Tanzania ni kiini macho tu haitekelezwi hakuna rais anaekubari kutia saini ili mtu auwawe kwa kunyongwa, maana tangu itungwe hio sheria mwaka 1989 hadi leo hakuna kiumbe msumbufu alimaarufu km mhalifu alienyongwa

Kwa hio mtu akipewa adhabu ya kunyongwa magereza yana-assume km kapewa adhabu ya kifungo cha maisha

Ukija upande wa haki za binadamu na baadhi ya watu wa masuala ya kisheria husema ni kheri mtu km huyo afanye kazi akiwa kwenye usimamizi uko magereza kuliko kumuua ndio maana hua hawauwawi kwa kunyongwa ila wanafungwa maisha

Nchi zinazotekeleza hizo sheria kwa Africa nchi inayoongoza ni Misri ambapo mpaka watu 150 hunyongwa kwa mwaka kwa makosa tofauti

Nchini nyingine yenye kutekeleza kwa ukali ni kutoka bara la Asia ambayo ni China inasemekana kwa mwaka watu 1000 hunyongwa au hupigwa risasi China km adhabu ya kifo kwa makosa tofauti na kati ya hayo ni kosa la kubeba na kusafirisha Madawa ya Kulevya

Napita..
Anaweza kuja rais kichaa muda wowote na akasaini. Hili silo jambo la kuamini. BTW mbona nilisikia wakati wa mzee Ruksa kuna walionyongwa?
 
Anaweza kuja rais kichaa muda wowote na akasaini. Hili silo jambo la kuamini. BTW mbona nilisikia wakati wa mzee Ruksa kuna walionyongwa?
Hakuna rais aliewahi kusaini hukumu ya kifo tangu sheria ilipotungwa hadi leo hajanyongwa hata mtu mmoja kwa saini ya rais, km yupo taja hio kesi
 
Hakuna rais aliewahi kusaini hukumu ya kifo tangu sheria ilipotungwa hadi leo hajanyongwa hata mtu mmoja kwa saini ya rais, km yupo taja hio kesi
Mzee mwamwindi yule aliyemuua mkuu wa mkoa wa Iringa Dr kreluu alinyongwa na nyerere
 
Wanawake muwe mnaangalia watu wa
kuwaoa ..kipato ni jambo muhimu lakini mzingatie mtu mwenye utu hata yakiisha
uisha Kwa amani Kuna watu wapo na roho zao ngumu zenye chuki na visasi.
 
Back
Top Bottom