Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria ya kunyongwa Tz imeanzishwa mwaka 1989!Haipo hadi rais asaini unyongwe
Kwa Tanzania ni kiini macho tu haitekelezwi hakuna rais anaekubari kutia saini ili mtu auwawe kwa kunyongwa, maana tangu itungwe hio sheria mwaka 1989 hadi leo hakuna kiumbe msumbufu alimaarufu km mhalifu alienyongwa
Kwa hio mtu akipewa adhabu ya kunyongwa magereza yana-assume km kapewa adhabu ya kifungo cha maisha
Ukija upande wa haki za binadamu na baadhi ya watu wa masuala ya kisheria husema ni kheri mtu km huyo afanye kazi akiwa kwenye usimamizi uko magereza kuliko kumuua ndio maana hua hawauwawi kwa kunyongwa ila wanafungwa maisha
Nchi zinazotekeleza hizo sheria kwa Africa nchi inayoongoza ni Misri ambapo mpaka watu 150 hunyongwa kwa mwaka kwa makosa tofauti
Nchini nyingine yenye kutekeleza kwa ukali ni kutoka bara la Asia ambayo ni China inasemekana kwa mwaka watu 1000 hunyongwa au hupigwa risasi China km adhabu ya kifo kwa makosa tofauti na kati ya hayo ni kosa la kubeba na kusafirisha Madawa ya Kulevya
Napita..
Hiyo silaha ni aina moja, kuipa sifa ya vitu viwili tofauti ni kudhania kuwa wali siyo ubwabwa!Ulaya na Marekani mbona hawazitumii AK 47, na SMG kwenye vita?