huez fananisha wacongo na wa ukraine labda uwe chiz , wacongo Hawajielew ila wa ukraine wanapambana na GiantCongo kwa kelele na mbwembwe huko Twitter unaweza kudhani Ni Superpower au iko inashinda Vita kumbe wanajeshi wake wanapewa kichapo mpaka wanakimbilia Uganda.
Watu wa Congo nawafananisha na wananchi wa Ukraine Kule Twitter yaani wanakula kichapo kila siku wanakufa kwa mamia lkn wako bize na Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine [emoji1][emoji1]
HakikaPale uvumilivu unapofikia ukomo; kisha kuchukua maamuzi pumba.
Hii morali ingekuwepo kupinga M23 aisee wangekua SalamaTazama makumi elfu ya wakazi wa Jiji la Goma DRC walivyopokea mwili wa Komandoo husika.
Wananchi wanaichangia familia yake fedha kwa kasi kubwa.
Kuna uamsho mkwa wa Kongom kupinga fitina za Rwanda.
Hali ikiendelea kutokota Rais wa DRC ametangaza kufunga mipaka yote ya DRC na RwandaView attachment 2264568
Sasa Congo wanafeli wapi wakati wananchi wanaonesha kabisa wanaiunga mkono nchi yao.Tazama makumi elfu ya wakazi wa Jiji la Goma DRC walivyopokea mwili wa Komandoo husika.
Wananchi wanaichangia familia yake fedha kwa kasi kubwa.
Kuna uamsho mkwa wa Kongom kupinga fitina za Rwanda.
Muovu anajijua tuu.Kagame shame on you
Rais wa Kenya last month aliitisha mkutano huko Nairobi wa kutafuta amani ya DRC jamaa aliwaita marais wa burundi, uganda, Drc na baadhi ya makundi, jamaa hakuwa makini kumuita PK, in case kama.alimwita na kama alikataa means alipuuzia na baada ya ule mkutano naona mambo ndio yakazid kuharibika zaidi
Nafikir imefikia muda sasa mbivu mbichi ijulikane
Na msemaji wa jeshi la Congo anasema jeshi Lao Ni la 8 kwa nguvu Africa,jeshi hili 😄😄?Mgogoro ukiendelea kujichochea. Waasi wa M23 kwa kutumia RPG 7 wametungua Helicopter ya jeshi la DRC.
View attachment 2264565
Jirani mmoja ni nyang'au na ni muovu..
Dah!... majirani wanapochukiana kiasi hiki ni hatari
Wakati unawadharau tambua kazi nzuri walizowahi kuzifanya.Ndo makomando wetu hao mbinu kisoda kazi kubeba mabegi makubwa na magogo ya miti tu
Mwili wake umepewa heshima kama Rais huko Goma. Wananchi wanamtaka ajengewe statue mpakani View attachment 2264227
Tshesekedi kishawanywesha sumu ya uzalendo wacongo,huko mbeleni isipobadilika itakua hatari sana maziwa makuu
Dhahabu bangi?Punguza jaziba kaka! usiwe kama alie leta taarifa,bangi sio kitu vijana muache tu. unaingia nchi ya watu unapiga risasi hovyo eti umekua komando kwa kua umevuta bangi!.
Hongera kwa wana Congo kwa uzalendo wao,wasiishie hapo tu waendeleze kisasi zaidi.Tazama makumi elfu ya wakazi wa Jiji la Goma DRC walivyopokea mwili wa Komandoo husika.
Wananchi wanaichangia familia yake fedha kwa kasi kubwa.
Kuna uamsho mkwa wa Kongom kupinga fitina za Rwanda.
Nchi ya Rwanda chini ya Kagame haipaswi kuwemo kwenye Ramani ya Afrika. That's, it should be erased!!!Mwanajeshi mmoja wa jeshi la DRC liitwalo FARDC ameivamia nchi ya Rwanda Leo trh 17.06.2022 alfajiri. Jamaa akiwa na bunduki aina ya AK 47 amaevamia post ya mpaka na kuingiza nchini Rwanda.
Jamaa amewasambilia wanajeshi wa Rwanda na kuua watatu na kujeruhi wengine.
Aidha Jeshi la Rwanda limefanikiwa kumuua.
Japokua jeshi La Rwanda limekanusha kuuwawa kwa maasikari wao lakini video mitandao zinathibitisha kuuwawa kwa maasikari hao.
Joto kati ya DRC na Rwanda linazidi kuongezeka.
Felix na PK wazipige tu ili tuitimishe 😀😀Hali ikiendelea kutokota Rais wa DRC ametangaza kufunga mipaka yote ya DRC na RwandaView attachment 2264568