macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Wabongo nao tumekuwa legelege sana. Huyo mwanajeshi ni hayo magwanda tu, hana lolote. Huyu dawa yake ni kujibu mapigo, umpige mpaka ajinyee halafu aende kuita wenzake kama ilivyo kawaida yao.Daah huyu mjeda anahatarisha maisha ya watu aisee haoni kama ataemda kusababisha ajali yaani gari Inatembea unampga dereva hivi😭😭
Nimejikuta nalia aisee inaumiza😭😭