macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Wabongo nao tumekuwa legelege sana. Huyo mwanajeshi ni hayo magwanda tu, hana lolote. Huyu dawa yake ni kujibu mapigo, umpige mpaka ajinyee halafu aende kuita wenzake kama ilivyo kawaida yao.Daah huyu mjeda anahatarisha maisha ya watu aisee haoni kama ataemda kusababisha ajali yaani gari Inatembea unampga dereva hivi😭😭
Nimejikuta nalia aisee inaumiza😭😭
Kwahiyo akiwa mnene ndio anakuwa hatar zaid sio?Na mwanajeshi ni mwembamba, means wangeweza kumchangia 😁😁
Ila waTz tuna mteru sana na hao watu.
huko siendi mkuu, nmeuliza hapa kwa sababu wameweka hapa.Nenda kwa Mange utajua chanzo na video za ugomvi utazikuta
Hooo hii ni habari njema sana kwangu,hawana adabu hawa wakivaa hayo magwanda wanajiona miunguWamemdunda
Anavyoita wenzake wewe unakuwa umejificha uvungu wa kochi unatetemeka huku umejishika kibofu.😂😂😂Wabongo nao tumekuwa legelege sana. Huyo mwanajeshi ni hayo magwanda tu, hana lolote. Huyu dawa yake ni kujibu mapigo, umpige mpaka ajinyee halafu aende kuita wenzake kama ilivyo kawaida yao.
CDF katika risala yake kwa Rais Samia H, alieleza suala la nidhamu jeshini. Na kusema kuwa kwa ujumla nidhamu ni nzuri, ila kuna baadhi ya wanajeshi wachache wenye nidhamu mbaya.Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.
Haya yanatokea kwa watu washamba washamba lakini siyo waelewa. Bila shaka hata wewe ni mmoja ya wanaoogopa wanajeshi. Labda kama hajipendi ndiyo ananisogelee. Hata wale makondoo mchongo wanaotembea na mizigo kama vichaa wa Tabata wakati wa maadhimisho ya sikukuu hawaniwezi.Anavyoita wenzake wewe unakuwa umejificha uvungu wa kochi unatetemeka huku umejishika kibofu.😂😂😂
Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.
Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu
Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.
Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu
Abiria hawahusiki na ugomvi wa watu.
Kwani hao abiria humo ndani wameshindwa kumzuia huyo mwanajeshi aacha kujichukulia sheria mkononi? Wameshindwa kumpiga?
Rusheni hiyo video akipewa kichapo basiWewe ni mpumbavu sanaa... yule askari naee hana akilii anadhani watu wanaogopa zile jezi za bakabaka oohoo watu washavurugwa na maisha angeweza kuuliwaa kizembe sana anastahili kupewa adhabu kalii sana kudhalilisha nguo za jeshi
Safi.Maneno ya kishujaa sana.Fumba macho uombewe hata maji ya kunywa.Haya yanatokea kwa watu washamba washamba lakini siyo waelewa. Bila shaka hata wewe ni mmoja ya wanaoogopa wanajeshi. Labda kama hajipendi ndiyo ananisogelee. Hata wale makondoo mchongo wanaotembea na mizigo kama vichaa wa Tabata wakati wa maadhimisho ya sikukuu hawaniwezi.
Wengi wagonjwa.Ila wanaume wa Tz [emoji119][emoji119]
Watanzania wengi ni kama makondoo.
Kwani hao abiria humo ndani wameshindwa kumzuia huyo mwanajeshi aacha kujichukulia sheria mkononi? Wameshindwa kumpiga?
Kweli nadhani hakujui huyo ,Haya yanatokea kwa watu washamba washamba lakini siyo waelewa. Bila shaka hata wewe ni mmoja ya wanaoogopa wanajeshi. Labda kama hajipendi ndiyo ananisogelee. Hata wale makondoo mchongo wanaotembea na mizigo kama vichaa wa Tabata wakati wa maadhimisho ya sikukuu hawaniwezi.
Kwa hiyo mnajuana?Danganyaneni kama mnabugia ebicholi.Kweli nadhani hakujui huyo ,
Wanajeshi wanabidi kujifunza hekima hasa wakiwa na RAIA
Watu wakawa sio wanyonge na wao , ukionewa sana hata ukawa mdogo vipi kuna point ikifika utajitutumua ,Wananchi pia naona wamemshambulia
View attachment 2880151
Mjeda na yeye raia wema wamempa vitasa jeshi liache kuonea raia wemaNimefurahi sana alivyotembeza kichapo hicho mkuu.