Wewe ukiitwa mbwa utafurahi?Siwezi kumuita binadamu yule mtu kwa kuwa hana sifa hizoš
Behave tafadhali sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ukiitwa mbwa utafurahi?Siwezi kumuita binadamu yule mtu kwa kuwa hana sifa hizoš
Twende polepole muhishimiwa.Usimkadirie mtu atakasirika vipi au wapi.Tuheshimiane.Hasira au jazba haina sehemu wala wakati.Unamchokoza mtu ukitegemea asichukie sababu yupo mbele ya watu/wasafiri?Mtaumia kwa kuwajaribu watu wenye visirani.Kwa hiyo wewe ukichokozwa na mmoja uko tayari uuwe watu mia š¤Ø
tuzo yangu ya kuwa chizi kweli unanipa lini?We chizi kweli.
We hebu nitolee upumbavu wako hapa kama ni ndugu yako huyo mjeshi narudia tena ni Mbwa šwewe ukiitwa mbwa utafurahi?
behave tafadhali sawa?
ikiwa siyo yeye utakuwa na la kujitetea?NI YEYEE š š š š š š
sawa mbwa mwandamiziWe hebu nitolee upumbavu wako hapa kama ni ndugu yako huyo mjeshi narudia tena ni Mbwa š
mimi nataka wawapige hadi mnyookeUmechelewa kujua.
SHERIA HAIMPI MWANAJESHI HAKI YA KUMPIGA RAIA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Kama ambavyo mtu yeyote hapewi haki ya kumtukana/kumtweza mwingine.Umechelewa kujua.
SHERIA HAIMPI MWANAJESHI HAKI YA KUMPIGA RAIA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
trainer wao wa combat kung fu?Wajeda wengine waanze na wewe
Usijaribu siku nyingine kwa vichwa vibovu kuleta ubabe wenu mbuzi mtatolewa kalio najua mkiwa wengi ndio mna nguvu sio mmoja.sawa mbwa mwandamizi
niongezee tusi lingine tafadhaliWe kweli matter call kabisa
Kwa Walio shuhudia tukio lile wanasema mjeshi ndio ana kosa alimchomekea mwenzie.Kama ambavyo mtu yeyote hapewi haki ya kumtukana/kumtweza mwingine.
na safari ijayo hamtoishia tu kupigwa nao bali mtatenguliwa kabisa hadi na viuno vyenu wapuuzi wakubwa nyieUsijaribu siku nyingine kwa vichwa vibovu kuleta ubabe wenu mbuzi mtatolewa kalio najua mkiwa wengi ndio mna nguvu sio mmoja.
Kwa hiyo wakachukia kwa sababu ni askari?Wangapi huchomekeana barabarani?Kwa Walio shuhudia tukio lile wanasema mjeshi ndio ana kosa alimchomekea mwenzie.
Safari ipi we mwehu kamkuta dereva mnyonge mimi ningeondoka na pumbuzii zake hata kwa kuzichomoa na meno yangu.na safari ijayo hamtoishia tu kupigwa nao bali mtatenguliwa kabisa hadi na viuno vyenu wapuuzi wakubwa nyie
raia mpigwe tu na wanajeshi kwani hakuna namna. mmezidi mazoea ya kipuuzi acheni mnyooshwe naoWewe ni mpumbavu sanaa... yule askari naee hana akilii anadhani watu wanaogopa zile jezi za bakabaka oohoo watu washavurugwa na maisha angeweza kuuliwaa kizembe sana anastahili kupewa adhabu kalii sana kudhalilisha nguo za jeshi