Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.

Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu


hawa ni wanajeshi form four failure wanaojiona wakivaa kombat wamefika kumbe mchwa wanawasubiri kama waliovaa sanda.
 
Kuna siku raia nao watachoka. Hata kama dereva alikua na makosa gani lakini kwa hichi anachokifanya ngengemkeni ni upunguhani. Hajaz8ngatia usalama wake, wa raia ndani na nje ya gari.

Form four haitoshi kuwaingiza jeshini hawa. Wanahitaji darasa zaidi
 
Hapo inaonekana dereva wa daladala alicheza rafu na ndio maana amesimama, halafu huyo askari jeshi alisimama ili kumuadabisha.

Ila si jambo zuri askari wa jeshi la wanainchi kushambulia raia hata kama kuna makosa ya uzembe yamefanyika kwa sababu hii itawaweka raia katika nafasi ya kuamini kuwa hili jeshi ni adui zao kama adui wengine.

So busara ambayo angefanya huyo askari jeshi ni kumfokea huyo dereva wa daladala na kumpa jamba jamba kisha kuachana nae ila kumshambulia hivyo hiyo ni Jinai kwa mujibu wa sheria za inchi na hakuna sheria, kibali, wala kanuni inayomruhusu huyu askari wa JWTZ kushambulia au kupigana na raia kwa sababu yoyote ile.
 
Hapo inaonekana dereva wa daladala alicheza rafu na ndio maana amesimama, halafu huyo askari jeshi alisimama ili kumuadabisha.

Ila si jambo zuri askari wa jeshi la wanainchi kushambulia raia hata kama kuna makosa ya uzembe yamefanyika kwa sababu hii itawaweka raia katika nafasi ya kuamini kuwa hili jeshi ni adui zao kama adui wengine.

So busara ambayo angefanya huyo askari jeshi ni kumfokea huyo dereva wa daladala na kumpa jamba jamba kisha kuachana nae ila kumshambulia hivyo hiyo ni Jinai kwa mujibu wa sheria za inchi na hakuna sheria, kibali, wala kanuni inayomruhusu huyu askari wa JWTZ kushambulia au kupigana na raia kwa sababu yoyote ile.
yani hawa jwtz huwa wanajihisi ni miungu sijuiii...huyu akipigwa buti la kichwa anaweza kukata motoo maana nao ni binadamu ila sasa wanajitoa ufahamu balaa.. hapo angeshambuliwa apigwe kisuu sijui lawama zingekuwa za nani mob yote ile
 
Afu mnataka bangi ziruhusiwe kuvutwa kama Jamaica & Afghanistan kwa akili hizi za kulia lia kwenye kila uzi, si madishi yatawalemea Madaktari kuyaseti upya kila siku?

Ubinadamu ni kazi/Humanity is work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sasa ulivyokoment hivi ndio unazidi kumliza fundi bishoo
 
Back
Top Bottom