mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
HahahaSafi sana. Akachukue kambi nzima sasa maana ndio wanachoweza.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaSafi sana. Akachukue kambi nzima sasa maana ndio wanachoweza.
Nani au mjedaMpaka sasa hivi hali yake sio nzuri!! Anaweza kufa
hawa ni wanajeshi form four failure wanaojiona wakivaa kombat wamefika kumbe mchwa wanawasubiri kama waliovaa sanda.Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.
Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu
[emoji3][emoji3] haya bwana Mwizukulu mgikuru umenifurahisha kweli kweli .ningekuwa ndani ya hilo gari sidhani kama huyo poti angepata hiyo nafasi....ningembeba juu juu huku nikimuambia tulia dogo utaharibu........
😂 😂 😂 😂 😂 😂Wanaume wa dar wanazingua sana,uwakute sasa na vibukta vyao asubuhi wanakimbia pembezoni mwa barabara,na vifua kama njiwa,utadhani wapo serious [emoji3][emoji3],gari zima wameshindwa kumkalisha huyo mpuuzi.
yani hawa jwtz huwa wanajihisi ni miungu sijuiii...huyu akipigwa buti la kichwa anaweza kukata motoo maana nao ni binadamu ila sasa wanajitoa ufahamu balaa.. hapo angeshambuliwa apigwe kisuu sijui lawama zingekuwa za nani mob yote ileHapo inaonekana dereva wa daladala alicheza rafu na ndio maana amesimama, halafu huyo askari jeshi alisimama ili kumuadabisha.
Ila si jambo zuri askari wa jeshi la wanainchi kushambulia raia hata kama kuna makosa ya uzembe yamefanyika kwa sababu hii itawaweka raia katika nafasi ya kuamini kuwa hili jeshi ni adui zao kama adui wengine.
So busara ambayo angefanya huyo askari jeshi ni kumfokea huyo dereva wa daladala na kumpa jamba jamba kisha kuachana nae ila kumshambulia hivyo hiyo ni Jinai kwa mujibu wa sheria za inchi na hakuna sheria, kibali, wala kanuni inayomruhusu huyu askari wa JWTZ kushambulia au kupigana na raia kwa sababu yoyote ile.
Wanajifanya tumesahau hilo. Walikuwa kama dada zao hao hamna lolote.Arusha tumewavua vyeo aiseee. Yaani yule dogo aliyeuwawa na kuadabishwa na polisi alikuwa anawapelekesha nyie vilaza hadi polisi wakaingilia kati, kwa jeuri gani sasa mlivyokuwa mnatamba viazi nyie.
umenidharau sana dah ineniuma 😭😭Wewe unaelia kilaini hivi ni jike au dume
Kilichokuliza nini sasa? Itakuwa umezoea kuangalia sinema za kihindi wewe. Pole sana.Daah huyu mjeda anahatarisha maisha ya watu aisee haoni kama ataemda kusababisha ajali yaani gari Inatembea unampga dereva hivi😭😭
Nimejikuta nalia aisee inaumiza😭😭
Hata mimi nimejiuliza hili swali.Wewe unaelia kilaini hivi ni jike au dume
Sasa ulivyokoment hivi ndio unazidi kumliza fundi bishooAfu mnataka bangi ziruhusiwe kuvutwa kama Jamaica & Afghanistan kwa akili hizi za kulia lia kwenye kila uzi, si madishi yatawalemea Madaktari kuyaseti upya kila siku?
Ubinadamu ni kazi/Humanity is work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Au nguvuHivi ikiwa kila mtu akiamua kujichukulia sheria mkononi sababu ya cheo au pesa.
Tutakuwa taifa la aina gani?
Tafakari.
Anatania.usichukulie seriousKilichokuliza nini sasa? Itakuwa umezoea kuangalia sinema za kihindi wewe. Pole sana.