Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangeminya na pumbu ili akili imkae vizuri, hawa wavaa gwanda baadhi yao ni km vichaa, na wengi wao 4m 4 failures. Lolwamempiga balaa hadi kumchania vest
Haahaha Jamaa wamemkanyaga kama sio MJeda😀😀😃😃😃abiria itakuwa ni member wa jf wamesoma michango ya huu uzi wakaona hapana😂😂.
sasa anayerekodi nayeye mbona ana kitete,sio shahidi mzuri.
Km ni huyo mjeda na afe haraka sana.Mpaka sasa hivi hali yake sio nzuri!! Anaweza kufa
Watu wa dasalama kwanza ni waoga
Kwani hao abiria humo ndani wameshindwa kumzuia huyo mwanajeshi aacha kujichukulia sheria mkononi? Wameshindwa kumpiga?
Safii sanaa, tenaa wangeminya pumbu ili akili imkae vyedii.Wananchi pia naona wamemshambulia
View attachment 2880151
Watu mbona mnachukia sana wanajeshi kwanini?Safii sanaa, tenaa wangeminya pumbu ili akili imkae vyedii.
Nyokoo zake, stress za maisha analeta kwa wengine.
Kabisa 💯Heshima Utu ni kila mmoja anahitaji haijalishi wewe ni combatant au Civilian
Huyo PTE hajaiva kwanza askari hatakiwi kujaa nyembe
HATUFAI
Nyie mpaka askari wa wanyapori wanawadhalilisha na ng'ombe zenu wachukua ndio unakuja kuongelea wanaume wa Dar.Wanaume wa dar wanazingua sana,uwakute sasa na vibukta vyao asubuhi wanakimbia pembezoni mwa barabara,na vifua kama njiwa,utadhani wapo serious [emoji3][emoji3],gari zima wameshindwa kumkalisha huyo mpuuzi.
Kwani kismaayu kuna vita?Kwanini hawaendi darfur au huko kismayu wakapambane vita vya ukweli ili mwisho wa siku warudishwe kwenye mabox