stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Mumeo wewe Mimi nimeoa usiniletee habari za kipunga hapa,yes mumeo dereva
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mumeo wewe Mimi nimeoa usiniletee habari za kipunga hapa,yes mumeo dereva
ndio Mumeo weweMumeo wewe Mimi nimeoa usiniletee habari za kipunga hapa,
anasubiri nini sasa🤣Mpaka sasa hivi hali yake sio nzuri!! Anaweza kufa
Mumeo dereva kanyooshwa mgongo aache kuchezea wanaumendio Mumeo wewe
u wishMumeo dereva kanyooshwa mgongo aache kuchezea wanaume
Aache kuchezea wanaume kazini mkumbushe ukiwa unamkandau wish
Hivi wale wanaomzunguka SSH wamemshika mamitutu hua na sababu gani za kiusalama? Au haujui km wale ni wajeshi? Au unaniigizia?Sababu gani za kiusalama?
MbusiiiAfya ya akili
Hivi TISS ni nani wale wewe unaishi Nchi gani? Nyuma pale anaesimamia ni nani mjumbe wa nyumba 10?Samia analindwa na wanajeshi?
Dereva daladala atakuwa mkimbizi anayejifanya raia. Jenerali kasema wapigwe tu.Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.
Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu
View attachment 2879924
View attachment 2879925
Na nyie raia mliokuwamo kwenye hulo gari wapuuzi, mlishindwa nini kujioganaizi na kumdhibiti huyo mpumbavu? Mngempa kichapo cha mbwa mwizi!Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.
Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu
View attachment 2879924
View attachment 2879925
Safi sana, madereva wazembe washikishwe adabu tuKuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.
Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu
View attachment 2879924
View attachment 2879925
Unadeka, tukiwaambia tuandamane mnagoma na kulia Lia , mnazani kulia ndo kutatatua matatizo.daah huyu mjeda anahatarisha maisha ya watu aisee haoni kama ataemda kusababisha ajali yaan gari inatembea unampga dereva hivi[emoji24][emoji24]
nimejikuta nalia aisee inaumiza[emoji24][emoji24]