Mwanajeshi mstaafu ateka mzee wa miaka 80 Ifakara

Ifakara kwa muda sasa matukio ya ajabu ya utekaji na mauaji hayakauki.
 
Bibi Kalembwana mwanae si yupo Kiberege Mwisho wa Lami, Malinyi kuna mtaalam mwingine mpya.

Kwa mvua za karibuni hiyo bajaj imetembea Lupiro mpaka Malinyi kwa masaa mangapi
 
Hii kesi naijua sana na huyo Mzee ni msukuma ana jina kama la marehemu Rais wa Tanzania!

Kisa cha hii kesi ni mgogoro wa ardhi!

Yule Mzee si alienda kushitaki kwa Mkuu wa Wilaya na mwanajeshi aliwekwa ndani?? Au kuna shida gani zaidi?? Karibu inbox
 
Hii kesi naijua sana na huyo Mzee ni msukuma ana jina kama la marehemu Rais wa Tanzania!

Kisa cha hii kesi ni mgogoro wa ardhi!

Yule Mzee si alienda kushitaki kwa Mkuu wa Wilaya na mwanajeshi aliwekwa ndani?? Au kuna shida gani zaidi?? Karibu inbox
Kesi iko huko ila hadi leo hajui kinachoendelea .i mean hajaitwa na mjeshi anajitapa balaa mtaani kua atahonga
 
Bibi Kalembwana mwanae si yupo Kiberege Mwisho wa Lami, Malinyi kuna mtaalam mwingine mpya.

Kwa mvua za karibuni hiyo bajaj imetembea Lupiro mpaka Malinyi kwa masaa mangapi
Yule wa kiberege alikufa vitu vimerudi huko huko ihowanji kwa mwingine
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Askofu wa Jimbo Kuu la Mahenge Agapiti Ndorobo enzi za huyo bibi mwenyewe waliisha chimbana mikwara kuhusu waumini kwenda kunyolewa nywele ikafika kipindi ukienda kunyolewa unatengwa na kanisa
Naskia kunyolewa ni hiari...sasa huyu alibebwa juu juu na kupigwa juu akiwa haelewi kitu...alidhalilishwa sana aise
 
Wanazipeleka wapi na Kwanini wanapelekana kunyolewA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…