Mwanajeshi mstaafu ateka mzee wa miaka 80 Ifakara

Mwanajeshi mstaafu ateka mzee wa miaka 80 Ifakara

Sijaelewa kidogo hapo samahani. Wanamnyoa nywele kwa lengo gani? Na kumchukua kote sababu ni hiyo tu kumnyoa nywele?
 
Naskia kunyolewa ni hiari...sasa huyu alibebwa juu juu na kupigwa juu akiwa haelewi kitu...alidhalilishwa sana aise
Kunyolewa haijawahi kuwa hiyari, ukishatuhumiwa kuwa ww ni mchawi basi jamaii au mtaa inakuchukua kinguvu kwenda kukunyoa kwa huyo bibi kukuondoa uchawi.

Huyo mwanajeshi inaonekana alimchezea mchezo huyo huyo mzee kwa kumuindia zengwe na mstaafu kwa ajiri ya mambo yao binafsi.
 
Kunyolewa haijawahi kuwa hiyari, ukishatuhumiwa kuwa ww ni mchawi basi jamaii au mtaa inakuchukua kinguvu kwenda kukunyoa kwa huyo bibi kukuondoa uchawi.

Huyo mwanajeshi inaonekana alimchezea mchezo huyo huyo mzee kwa kumuindia zengwe na mstaafu kwa ajiri ya mambo yao binafsi.
Nimepeleleza tamaduni zao ni lazima mkubaliane...anywys
 
Sijaelewa kidogo hapo samahani. Wanamnyoa nywele kwa lengo gani? Na kumchukua kote sababu ni hiyo tu kumnyoa nywele?
Chanzo ni mgogoro ardhi .lakini wakat wako katika majadiliano likatokea kundi kubwa la wahuni wakiwa na bajaj na pikipiki wakaanza mpiga na kumwitta mchawi ..wakampeleka huko kwa huyo bibi ili anyolewe nywele..kwamba ukinyolewa nywele unakua huna nguvu tena za kuloga🙌
 
Nimepeleleza tamaduni zao ni lazima mkubaliane...anywys
mabishano lazima yawepo na hii ni kwa familia husika...mpaka ukubari sio jambo dogo, huyo mjeshi alitumia nguvu kwanza inaonekana sio swhwmu ya familia. Mfano ktk familia yenu watu wanakufa mfululizo bila kueleweka..makaenda kwa kalumanzila...akanyishewa kidole mmoja wenu au wanne 5 basi ujue mtaenda nyolewa wote mpaka mchawi apatikane...huko kwa kalimbwane.
 
Mtu mmoja anayejulikana kwa jina la EMMANUEL MKOMAWAGI ambaye alikuwa mwanajeshi Arusha Monduli akishirikiana na mwenyekiti wa kijiji cha Kaporo Ifakara anayeitwa SAIDINA FAYA kumteka mzee mstaafu anayekadiriwa kuwa na miaka 80(jina Kapuni!)ambaye anasumbuliwa na kisukari na presha.

Mzee huyo alichukùliwa kwa udhalilishaji mkubwa akiwa kwake mchana kweupe.

Alikodishiwa wahuni wakaja wakambeba mzobe mzobe wakamweka kwenye bajaji wakiwa wanampiga na kumkanyaga kanyaga (aliwekwa sehemu ya kukanyagia miguu kwenye Bajaji.

Watekaji hao walimsafirisha usiku mzima hadi wilaya nyingine hadi kijiji kinaitwa Ihowanja wilaya ya Malinyi akiwa amenyang'anywa simu pamoja na wallet yake

Tunashukuru Jeshi la Polisi Ifakara mjini kwa kushirikiana na wasamarian wema kumtrack mwanajeshi na kujua yuko huko vijijini kwa bibi mnyoa nywele kwa lengo la kwenda kumnyoa nywele(imani za kishirikina zilizopitwa na wakati)

Tunaomba vyombo vya sheria vimsaidie Mzee huyu kupata haki yake kwani Mwanajeshi anajitapa amestaafu amelipwa kiasi kizuri cha pesa anatamba atashinda hii kesi..

Huyu mzee mstaafu alipokonywa hela alizokua nazo, simu, pamoja na kadi zote za benki na kadi ya NHIF.

Naombeni msaada wa "kisheria" kuhusiana na hili suala la UTEKAJI NA UDHALILISHAJI Kwa huyu mzee .

Natanguliza shukrani

Cc;@Pascal Mayala
Petro E. Mselewa
Walimtrack kwa njia gani
 
mabishano lazima yawepo na hii ni kwa familia husika...mpaka ukubari sio jambo dogo, huyo mjeshi alitumia nguvu kwanza inaonekana sio swhwmu ya familia. Mfano ktk familia yenu watu wanakufa mfululizo bila kueleweka..makaenda kwa kalumanzila...akanyishewa kidole mmoja wenu au wanne 5 basi ujue mtaenda nyolewa wote mpaka mchawi apatikane...huko kwa kalimbwane.
Naskia inabidi ifanyike familia kwa familia..sio kabila jingine kwa jingine .jua tu alitekwa kwa kupigwa akijua haajui kitu...alipoona anashindwa jitetea akakubali kusurrender
 
Na mimi nimeambiwa hizo habari..wanakijiji wanaomba wapaze sauti aondolewe uenyekiti .wengi mno wamelalamika hayo ..serikali ya ccm iliangalie hili kwa umakini...binafsi simfahamu natamani nimuone
Wananchi waende ofisi ya kijiji watie kufuli ili Mtendaji wa Kata au Mkuu wa Wilaya aende kuwasikiliza.

Serikali ya CCM ipo bize kutafuna pesa za kumpongeza mama. Shid za wananchi zitakumbukwa miezi michache kabla ya chaguzi
 
Haujanijibu
Walimtrack mjesh....then wakajua yuko kijiji fulan...wakaenda kwa mganga wwakampga mkwara kua atakuja mtu fulan usimfanyie kitu tupe ushirik8ano..usipotupa tunakufutia leseni.so mganga alifanikisha kudakwa hao watu
 
Walimtrack mjesh....then wakajua yuko kijiji fulan...wakaenda kwa mganga wwakampga mkwara kua atakuja mtu fulan usimfanyie kitu tupe ushirik8ano..usipotupa tunakufutia leseni.so mganga alifanikisha kudakwa hao watu
Hapa nimegundua kitu. Polisi hawana uwezo wa kujua mahali ulipo ila wanajua eneo ulipo tu. ila mahali penyewe ulipo bado ni kizungumkuti kwao?
 
Wenye viti wengi wa kibaoni kaporo kikwawila Wana mambo ya ajabu sana. Wanauza viwanja mara mbili,,au kudhurumu kabisaa wananch wao.

Kuna mwenyekiti wa kikwawila anaitwa Magengele aliuza kiwanja cha mwananchii na kudai et anamuhifadhia pesa yake chaajabu Akala hiyo pesa mwananchi akaambulia kuwa ananunuliwa mboga na unga tu.

Kuna ndugu yangu kabisa alikua anauza kiwanja mwenyekiti Magengele akatafuta mteja akakata kiwanja nusu na akamwambia ndugu yangu kuwa kiwanja kimeuzika kwa pesa ndogo hivo kiwanja kilichobaki akakiuza yeye tena.

Kuna mwenyekiti mwingine anaitwa Hassan Yani ni mambo hayo hayo
 
Chanzo ni mgogoro ardhi .lakini wakat wako katika majadiliano likatokea kundi kubwa la wahuni wakiwa na bajaj na pikipiki wakaanza mpiga na kumwitta mchawi ..wakampeleka huko kwa huyo bibi ili anyolewe nywele..kwamba ukinyolewa nywele unakua huna nguvu tena za kuloga🙌
Duh!
 
Mtu mmoja anayejulikana kwa jina la EMMANUEL MKOMAWAGI ambaye alikuwa mwanajeshi Arusha Monduli akishirikiana na mwenyekiti wa kijiji cha Kaporo Ifakara anayeitwa SAIDINA FAYA kumteka mzee mstaafu anayekadiriwa kuwa na miaka 80(jina Kapuni!)ambaye anasumbuliwa na kisukari na presha.

Mzee huyo alichukùliwa kwa udhalilishaji mkubwa akiwa kwake mchana kweupe.

Alikodishiwa wahuni wakaja wakambeba mzobe mzobe wakamweka kwenye bajaji wakiwa wanampiga na kumkanyaga kanyaga (aliwekwa sehemu ya kukanyagia miguu kwenye Bajaji.

Watekaji hao walimsafirisha usiku mzima hadi wilaya nyingine hadi kijiji kinaitwa Ihowanja wilaya ya Malinyi akiwa amenyang'anywa simu pamoja na wallet yake

Tunashukuru Jeshi la Polisi Ifakara mjini kwa kushirikiana na wasamarian wema kumtrack mwanajeshi na kujua yuko huko vijijini kwa bibi mnyoa nywele kwa lengo la kwenda kumnyoa nywele(imani za kishirikina zilizopitwa na wakati)

Tunaomba vyombo vya sheria vimsaidie Mzee huyu kupata haki yake kwani Mwanajeshi anajitapa amestaafu amelipwa kiasi kizuri cha pesa anatamba atashinda hii kesi..

Huyu mzee mstaafu alipokonywa hela alizokua nazo, simu, pamoja na kadi zote za benki na kadi ya NHIF.

Naombeni msaada wa "kisheria" kuhusiana na hili suala la UTEKAJI NA UDHALILISHAJI Kwa huyu mzee .

Natanguliza shukrani

Cc;@Pascal Mayala
Petro E. Mselewa

1. Mtoa taarifa.
2 Huyo Mzee.
3. Wewe
4. Bajaj iliyotumika
5. Mwanajeshi
6. Na Hao police....

Wote mna matatizo.
 
Kumbe Malinyi bado kuna Bibi ananyoa!

Enzi hizo, kulikuwa na Bibi Kalembwani, alikuwa ni hatari sana kwenye kuwanyoa wale wote waliopelekwa kwake kwa imani za kishirikina.

Baada ya kifo chake, mtoto/mjukuu wake Magungu alijaribu kurithi mikoba, na kuhamia pale Kiberege (sululu); kwa bahati mbaya alishindwa kuendeleza kipaji cha mama/bibi yake.
 
Kumbe Malinyi bado kuna Bibi ananyoa!

Enzi hizo, kulikuwa na Bibi Kalembwani, alikuwa ni hatari sana kwenye kuwanyoa wale wote waliopelekwa kwake kwa imani za kishirikina.

Baada ya kifo chake, mtoto/mjukuu wake Magungu alijaribu kurithi mikoba, na kuhamia pale Kiberege (sululu); kwa bahati mbaya alishindwa kuendeleza kipaji cha mama/bibi yake.
Akaweka na Bango kubwa la Tangazo pale Mikumi mbele ya Hospital upande wa kushoto
 
Back
Top Bottom