Mwanajeshi Mstaafu wa Marekani adai Nchi za Afrika zirudishwe kwenye Utawala wa Kikoloni kwa kushindwa kujisimamia zenyewe

Shida ni uchawa tu mkuu, wewe unazani, CIA anakuja tu kukutungua apo kwako bila kumtumia chawa alie kalibu yako.

Refer case ya Mobutu na lumumba.
 
Naungana na mjeshi Kwa kauli yake
Mara zote Huwa Nasema wakoloni warudi tu watutawale.

Kwa akiri yangu ndgo Kila nikiona majengo ya hospital kubwa nyingi ni wamisionari

Mfano sengerema mission,bugando,kcmc,nk serikali ipi kubwa ya kuzizidi hizo tofauti na ya chato Kwa Sasa? Haya Leo tuna miaka mingapi?

Ukija kwenye reli Kuna reli imejengwa na mbogo?

Hakika waje hata Leo jioni tu watutawale Hawa.
 
Shida ya viongozi tulionao hawana maono na uzalendo kucha kujipendekeza tu kwa watu weupe
 
Inauma sana. Ila ndo ukweli
 
Tutashitakiwa MIGA tukisimamia madini yetu~~~ Lisu
Ukiambiwa ulete ushahidi aliposema hivyo kama ulivyoandika utaishia kujichekesha tu.

Na kama akili zenyewe ndio kama zako basi huyo Soja yupo sahihi.
 
Hii inatia hasira na dharau za wazi. Mtu aliyeshindwa kujitawala ni mnyama na sio binadamu. Na kinachosikitisha zaidi ni hawa wajinga humu wanaokubaliana na huyo mzungu msenge, na kulaumu viongozi wakati tatizo ni la wananchi wa nchi husika. Kiasi cha kuprove point yake aliyoipinda kinafiki na kuwakamata maboya yakiwemo ya humu.

Hata kama watu wameshindwa kujiongoza, haimaamishi mwingine kutoka nje aje kuwaongoza, sababu hakuna mtu mwenye mamlaka juu ya mwingine bali mtu binafsi. Hakuna, na ndio maana ya kuwa binadamu kamili anayejitambua. Na atakayethubutu basi kifo ndio malipo yake.

Kama wananchi mnashindwa kuweka serikali mnayoitaka nchini iwe kwa amani au kwa damu, basi inamake sense kukubaliana na huyo msenge. Hicho ndicho alichomaanisha na inasikitisha kuona hayo majitu yasiyokuwa na akili, yasiyojitambua, yasiyojiheshimu, yasiyotambua thamani ya utu na uhuru wao, yanayokimbia wajibu wao na mavivu yakijitokeza humu.

Huyo msenge ameshindwa kutawala matoto yake ya kiume yavaa magauni, masenge, wasagaji na midume inayooana wao kwa wao huko kwao alafu anaongelea kutawala bara zima? Kumamake afanye kazi level zame. Huyo mbwa nitamfuata hukohuko Twitter.


Na anayekubaliana na huyo nguruwe msenge basi tambua wewe ni Nyani. Ulitakiwa uwe ndani ya banda la chuma na minyororo shingoni sababu ndicho unachostahili. Kwa kutukana juhudi za baba wa taifa na wasaka uhuru na kuwa hasara kwa taifa.
 
Laana tuliyopigwa watu weusi ni Mungu peke ambae anaweza kutunusuru. Viongozi tuliowachagua hawana huruma kabisa na wananchi. Bahari, maziwa mito pamoja na madini hayajasaidia kuondoa umaskini tulionao. Barabara, reli, anga vyote ni hoi kabisa. Maji ya uhakika hakuna.
Mifumo ya elimu waliyoiweka kwa watoto wetu hawathubutu watoto wao waitumie kwa sababu wanajua ni mibovu na haina tija kwa taifa.
Mpaka sasa kwa mfano Tanzania bado Lugha rasmi haijulikani kati ya Kiswahili au Kiingereza. Shule zinafundisha kwa Lugha ya kiswahili na Wananchi 95% wanazungumza kiswahili, lakini interviewa za kazi, mikataba ya nchi, sheria za nchi zipo kwenye kiingereza. Hatueleweki inshort.
Mimi pia natamani sana ukoloni urudi kwenye nchi za kiafrika hasa zinazokaliwa na watu weusi.
Wabunge wanaona safi tu kujiongezea Mishahara yao na posho, wanatunga kanuni za kuzuia viinua mgongo vya watu maskini kwamba hawawezi kujisimamia kwnye matumizi wakiwa wazee. Lakini cha ajabu bungeni kuna wazee wenye zaidi ya miaka 60, wanapomaliza muda wao wanapewa pesa zao taslimu kwamba wanaweza kujisimamia.
Maumivu ni mengi sana kwa wananchi wa kawaida ambayo hakuna kiongozi yoyote ambae anafikiria kumsaidia.
Huyo mwanajeshi hakuropoka lakini ndio uhalisia wenyewe
 
Wewe ni mtoto wa waziri, mbunge,au balozi wa nyumba kumi? Maana siyo kwa mshtuko huo!! Relax mkuu,mrija haukatwi leo wala kesho, nchi ni ya kwenu na wazazi wenu tu hii mkuu, mtakula hadi mvimbiwe.
 
Kinachitwa Democracy ndio utapeli mkubwa Africa.
 
Wewe ni mtoto wa waziri, mbunge,au balozi wa nyumba kumi? Maana siyo kwa mshtuko huo!! Relax mkuu,mrija haukatwi leo wala kesho, nchi ni ya kwenu na wazazi wenu tu hii mkuu, mtakula hadi mvimbiwe.
I'm a fuking nobody, isipokuwa mimi ni Muafrika, mwanaume na mtu ninayejiheshimu na kujitambua. Na wewe utakuwa ni yule Nyani niliyekuongelea. Niko sahihi na ndio maana umekuja kujitetea hapa baada ya kujihisi.

Acha kutaka kutawalia na wanaume wenzako ndani ya nyumba yako na amua kuweka Serikali unayoitaka madarakani eidha kwa maneno na akili au kwa nguvu. Otherwise wewe ni Nyani na ni haki yako kutawaliwa na huyo Mzungu msenge.
 
Hii ni fact waje tuwape tu tuwape mitano kwanza watutawale tukiyaona mabadiliko makubwa sasa ndio tuwape milele
 
Kasema ukweli kabisa.mfano yule kiongozi mama nani sikumbuki vizuri.Alienda Korea kusini akaomba apewe mkopo Kwa riba kubwa mara saba ya huo mkopo na yeye akawagawia mahekari ya kuchuma madini ya kinywe.huu ni ujuha kabisa na ni Bora watawaliwe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…