Wangempa test ya kuwambia aseme chigara chipotiRwanda nao wangetafuta askari mwenye kakitambi na sura nzito nzito na bonge la pua , hapo wamakonde waliona eeeenh hii pua mbona kuchongoka nangu mene chio achikari weetu hu'yu
Washukuru sana hao Wanyarwanda kwa kuwalinda lasivyo wale magaidi wangewachinja Kila sikuWakuu
Kuna video hii ikimuonesha Mwanajeshi wa Rwanda, ambaye amejikuta matatani nchini Msumbiji baada ya wananchi kumshtukia akiwa amevaa sare za jeshi la polisi wa Msumbiji na kumzonga wakitaka avue mask
Pia, Soma:
+ Jeshi la Rwanda kusalia Msumbiji
+ Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?
Duh!...hii kali.Hizi ni mbinu za kivita, usichojua hata sisi Tz tunao askari wapo Mozambique. Wapo askari wa TPDF, Polisi, Magereza na Usalama.
Wote wanavaa combat ya TPDF, lakini pia katika baadhi ya vikosi ya msumbiji tunao askari wetu kwa missions hizi hizi za ujasusi na usalama, huyo tu askari wa Rwanda cover yake imekuwa blown perhaps amechomeshwa au he was not keeping a low profile
Mozambique nao ni wapuuzi tu badala ya kukamilisha kazi kwa kum restisha, wenyewe wamemzunguka na kuanza kumchamba, wanakuwa kama wazaramo bana?Wakuu
Kuna video hii ikimuonesha Mwanajeshi wa Rwanda, ambaye amejikuta matatani nchini Msumbiji baada ya wananchi kumshtukia akiwa amevaa sare za jeshi la polisi wa Msumbiji na kumzonga wakitaka avue mask
Pia, Soma:
+ Jeshi la Rwanda kusalia Msumbiji
+ Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?
Wako kuzuia maandamano halali ya wananchi wa Msumbiji? Inaonekana hukuelewa somoHizi ni mbinu za kivita, usichojua hata sisi Tz tunao askari wapo Mozambique. Wapo askari wa TPDF, Polisi, Magereza na Usalama.
Wote wanavaa combat ya TPDF, lakini pia katika baadhi ya vikosi ya msumbiji tunao askari wetu kwa missions hizi hizi za ujasusi na usalama, huyo tu askari wa Rwanda cover yake imekuwa blown perhaps amechomeshwa au he was not keeping a low profile
Kabisa hakuelewa somo ,hayo ni maandamano ya kisiasa ya ndani zaidi , haikua suala la kitisho toka nje au ugaidi ambapo katika mikataba yao Rwanda walikua ni kudeal na waasi tu hapo ni ka wamevuka mipakaWako kuzuia maandamano halali ya wananchi wa Msumbiji? Inaonekana hukuelewa somo