Mwanajeshi wa Rwanda, amejikuta matatani nchini Msumbiji baada ya wananchi kumshtukia akiwa amevaa sare za jeshi la polisi wa Msumbiji

Mwanajeshi wa Rwanda, amejikuta matatani nchini Msumbiji baada ya wananchi kumshtukia akiwa amevaa sare za jeshi la polisi wa Msumbiji

Wakuu

Kuna video hii ikimuonesha Mwanajeshi wa Rwanda, ambaye amejikuta matatani nchini Msumbiji baada ya wananchi kumshtukia akiwa amevaa sare za jeshi la polisi wa Msumbiji na kumzonga wakitaka avue mask

Pia, Soma:
+
Jeshi la Rwanda kusalia Msumbiji
+ Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?
Washukuru sana hao Wanyarwanda kwa kuwalinda lasivyo wale magaidi wangewachinja Kila siku
 
Hizi ni mbinu za kivita, usichojua hata sisi Tz tunao askari wapo Mozambique. Wapo askari wa TPDF, Polisi, Magereza na Usalama.

Wote wanavaa combat ya TPDF, lakini pia katika baadhi ya vikosi ya msumbiji tunao askari wetu kwa missions hizi hizi za ujasusi na usalama, huyo tu askari wa Rwanda cover yake imekuwa blown perhaps amechomeshwa au he was not keeping a low profile
Duh!...hii kali.

T14 Armata
 
Wakuu

Kuna video hii ikimuonesha Mwanajeshi wa Rwanda, ambaye amejikuta matatani nchini Msumbiji baada ya wananchi kumshtukia akiwa amevaa sare za jeshi la polisi wa Msumbiji na kumzonga wakitaka avue mask

Pia, Soma:
+
Jeshi la Rwanda kusalia Msumbiji
+ Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?
Mozambique nao ni wapuuzi tu badala ya kukamilisha kazi kwa kum restisha, wenyewe wamemzunguka na kuanza kumchamba, wanakuwa kama wazaramo bana?
 
Hizi ni mbinu za kivita, usichojua hata sisi Tz tunao askari wapo Mozambique. Wapo askari wa TPDF, Polisi, Magereza na Usalama.

Wote wanavaa combat ya TPDF, lakini pia katika baadhi ya vikosi ya msumbiji tunao askari wetu kwa missions hizi hizi za ujasusi na usalama, huyo tu askari wa Rwanda cover yake imekuwa blown perhaps amechomeshwa au he was not keeping a low profile
Wako kuzuia maandamano halali ya wananchi wa Msumbiji? Inaonekana hukuelewa somo
 
Wako kuzuia maandamano halali ya wananchi wa Msumbiji? Inaonekana hukuelewa somo
Kabisa hakuelewa somo ,hayo ni maandamano ya kisiasa ya ndani zaidi , haikua suala la kitisho toka nje au ugaidi ambapo katika mikataba yao Rwanda walikua ni kudeal na waasi tu hapo ni ka wamevuka mipaka
 
Back
Top Bottom