MwanaJF aliyekuvutia kwa michango yake 2015

Pia nilivutiwa na kanone alivyokuwa anamwaga kiswahili cha rwanda
 
Relis amenikosha sana anachiokiandika nakosa cha kuongezea Mungu ampe maisha marefu
 
Dah! Mie Nyumbu kwa ujumla wao. Sijui walikuwa wanalipwaje kwani Hawa jamaa walikuwa hawalali aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…