Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nilivutiwa sana na MOTOCHINI kwa jinsi alivyokuwa ana mtetea zzk baada ya kufukuzwa toka cdmNiliona kama mmemtenga hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilivutiwa sana na MOTOCHINI kwa jinsi alivyokuwa ana mtetea zzk baada ya kufukuzwa toka cdmNiliona kama mmemtenga hahaha
Jinga lao mkuu upo mbona kimya ?@jinga laoJinga lao...... Kanivutia sana kwa mada za kipumbavu alizokua akixitoa!!
Ahsanta.Bila kumsahau mzee wa controversials, @kahtaan na mwenzake wa upande wa pili @Ishmael.
Pia @Mr Chin na @ Ocampo Four, bila kumsahau yule mwehu @Yericko Nyerere.
Tuliwadhibiti vilivyoDah! Mie Nyumbu kwa ujumla wao. Sijui walikuwa wanalipwaje kwani Hawa jamaa walikuwa hawalali aisee
Mcubic umesalimika na hatimae kuukwaa 2016?mungu ashukuliwe@Lizaboni @Mmawia @MOTOCHINI @Ben Saanane @MUSSA ALLAN @Pasco @Watu8 @Watu (huyu icon yake inaniacha hoi @Heaven on Earth na @Katavi