ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
R. I. PKwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanaJamiiForums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki juzi tarehe 2 Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu
Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko hivyo atatujuza zaidi
Mara ya mwisho kabla ya kurejea nchini alikuwa Lebanon Beirut ambapo mumewe ni mwambata wa ubalozi kule.. Mumewe si raia wa Tanzania
Mazishi ni kesho mjini Bukoba ambako ndiko asili yake
Nilimfahamu mwaka 2017 hapa JF na baadae nje ya JF.. Alikuwa ni mama mwenye upendo mkuu ushauri mwanana asiye na majivuno na aliyekuwa anaisaidia bila kubagua
Hakuwa mshiriki sana kwa maana ya kuandika lakini alikuwa msomaji mzuri sana wa karibia kila kilichokuwa kikiandikwa hapa
Alikuwa dada na rafiki mwema kwangu. Nitamkumbuka daima
Kwa ruhusa maalum naweka picha yake ya msibani hapa.
Pumzika kwa amani dada yangu niah πͺ
View attachment 3115403
Tuponde raha Eve, tupendane tu na kupeana tu...maisha mafupi ujue. Uko wapi mda huu?Pumzika kwa amani ndugu yetu.....
Ntakupigia nikwambie kitu πTuponde raha Eve, tupendane tu na kupeana tu...maisha mafupi ujue. Uko wapi mda huu?
Kumbe humu tunasomeka hadi na Mabalozi na Waambata wake.Kwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanaJamiiForums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki juzi tarehe 2 Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu
Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko hivyo atatujuza zaidi
Mara ya mwisho kabla ya kurejea nchini alikuwa Lebanon Beirut ambapo mumewe ni mwambata wa ubalozi kule.. Mumewe si raia wa Tanzania
Mazishi ni kesho mjini Bukoba ambako ndiko asili yake
Nilimfahamu mwaka 2017 hapa JF na baadae nje ya JF.. Alikuwa ni mama mwenye upendo mkuu ushauri mwanana asiye na majivuno na aliyekuwa anaisaidia bila kubagua
Hakuwa mshiriki sana kwa maana ya kuandika lakini alikuwa msomaji mzuri sana wa karibia kila kilichokuwa kikiandikwa hapa
Alikuwa dada na rafiki mwema kwangu. Nitamkumbuka daima
Kwa ruhusa maalum naweka picha yake ya msibani hapa.
Pumzika kwa amani dada yangu niah πͺ
View attachment 3115403
Watu wema wanazidi kupungua.Kwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanaJamiiForums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki juzi tarehe 2 Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu
Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko hivyo atatujuza zaidi
Mara ya mwisho kabla ya kurejea nchini alikuwa Lebanon Beirut ambapo mumewe ni mwambata wa ubalozi kule.. Mumewe si raia wa Tanzania
Mazishi ni kesho mjini Bukoba ambako ndiko asili yake
Nilimfahamu mwaka 2017 hapa JF na baadae nje ya JF.. Alikuwa ni mama mwenye upendo mkuu ushauri mwanana asiye na majivuno na aliyekuwa anaisaidia bila kubagua
Hakuwa mshiriki sana kwa maana ya kuandika lakini alikuwa msomaji mzuri sana wa karibia kila kilichokuwa kikiandikwa hapa
Alikuwa dada na rafiki mwema kwangu. Nitamkumbuka daima
Kwa ruhusa maalum naweka picha yake ya msibani hapa.
Pumzika kwa amani dada yangu niah πͺ
View attachment 3115403
Usijali nawe wakati wako ukifika utajuaMtu ameshakufa anapumzikaje kwa amani?
When you are dead, you're dead.
Kwamba anapaa kwenda mbinguni ama...
Natumaini alipata nafasi ya kujikabidhi mikononi mwa Mungu alipokuwa hai. Naamin tutakutana nae katika uzima wa milele. Apumzike kwa amani mama mzuri.Kwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanaJamiiForums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki juzi tarehe 2 Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu
Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko hivyo atatujuza zaidi
Mara ya mwisho kabla ya kurejea nchini alikuwa Lebanon Beirut ambapo mumewe ni mwambata wa ubalozi kule.. Mumewe si raia wa Tanzania
Mazishi ni kesho mjini Bukoba ambako ndiko asili yake
Nilimfahamu mwaka 2017 hapa JF na baadae nje ya JF.. Alikuwa ni mama mwenye upendo mkuu ushauri mwanana asiye na majivuno na aliyekuwa anaisaidia bila kubagua
Hakuwa mshiriki sana kwa maana ya kuandika lakini alikuwa msomaji mzuri sana wa karibia kila kilichokuwa kikiandikwa hapa
Alikuwa dada na rafiki mwema kwangu. Nitamkumbuka daima
Kwa ruhusa maalum naweka picha yake ya msibani hapa.
Pumzika kwa amani dada yangu niah πͺ
View attachment 3115403
Mtakutana???Natumaini alipata nafasi ya kujikabidhi mikononi mwa Mungu alipokuwa hai. Naamin tutakutana nae katika uzima wa milele. Apumzike kwa amani mama mzuri.
Pole wafiwa, Pumzika Kwa amani mpendwa wetu π dada yetu, ni uzuni kwetu sote.Kwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanaJamiiForums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki juzi tarehe 2 Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu
Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko hivyo atatujuza zaidi
Mara ya mwisho kabla ya kurejea nchini alikuwa Lebanon Beirut ambapo mumewe ni mwambata wa ubalozi kule.. Mumewe si raia wa Tanzania
Mazishi ni kesho mjini Bukoba ambako ndiko asili yake
Nilimfahamu mwaka 2017 hapa JF na baadae nje ya JF.. Alikuwa ni mama mwenye upendo mkuu ushauri mwanana asiye na majivuno na aliyekuwa anaisaidia bila kubagua
Hakuwa mshiriki sana kwa maana ya kuandika lakini alikuwa msomaji mzuri sana wa karibia kila kilichokuwa kikiandikwa hapa
Alikuwa dada na rafiki mwema kwangu. Nitamkumbuka daima
Kwa ruhusa maalum naweka picha yake ya msibani hapa.
Pumzika kwa amani dada yangu niah πͺ
View attachment 3115403