TANZIA MwanaJF Dada Niah amefariki dunia akipatiwa matibabu Dodoma General hospital

TANZIA MwanaJF Dada Niah amefariki dunia akipatiwa matibabu Dodoma General hospital

Mimi nakupa andiko wewe unaleta porojo za kilokole hapa!

Tutolee udini wa kijinga hapa,huu ni uzi wa msiba,hizo pigo zako wapelekee walokole wenzako huko,usiharibu huu uzi.
Umenipa andiko usilolijua!!

Unamjua YESU wewe?

Baba wa Yesu kimwili ni nani?

Kaburi lake li wapi?

Mabaki ya mifupa yake je?

Yesu Yu wapi sasa, Yu kaburini kama Mudi?
 
Dah huyu mama jamani,nimemkumbuka sana kipindi kile kwenye jukwaa letu la MAKAPUKU tulikuwa tunachat nae sana uandishi wake ulinitia wasiwasi na kuona huyu ni mtu mzima na asiyejua kiswahili kwa ufasaha, mpaka tulikuwa tunamuita bibi,...kumbe yote yalikuwa ni kweli,RIP
 
Kwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanaJamiiForums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki juzi tarehe 2 Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu

Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko hivyo atatujuza zaidi
Mara ya mwisho kabla ya kurejea nchini alikuwa Lebanon Beirut ambapo mumewe ni mwambata wa ubalozi kule.. Mumewe si raia wa Tanzania

Mazishi ni kesho mjini Bukoba ambako ndiko asili yake
Nilimfahamu mwaka 2017 hapa JF na baadae nje ya JF.. Alikuwa ni mama mwenye upendo mkuu ushauri mwanana asiye na majivuno na aliyekuwa anaisaidia bila kubagua

Hakuwa mshiriki sana kwa maana ya kuandika lakini alikuwa msomaji mzuri sana wa karibia kila kilichokuwa kikiandikwa hapa

Alikuwa dada na rafiki mwema kwangu. Nitamkumbuka daima

Kwa ruhusa maalum naweka picha yake ya msibani hapa.

Pumzika kwa amani dada yangu niah 😪

View attachment 3115403
Apumzike kwa amani!!
 
Kwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanaJamiiForums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki juzi tarehe 2 Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu

Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko hivyo atatujuza zaidi
Mara ya mwisho kabla ya kurejea nchini alikuwa Lebanon Beirut ambapo mumewe ni mwambata wa ubalozi kule.. Mumewe si raia wa Tanzania

Mazishi ni kesho mjini Bukoba ambako ndiko asili yake
Nilimfahamu mwaka 2017 hapa JF na baadae nje ya JF.. Alikuwa ni mama mwenye upendo mkuu ushauri mwanana asiye na majivuno na aliyekuwa anaisaidia bila kubagua

Hakuwa mshiriki sana kwa maana ya kuandika lakini alikuwa msomaji mzuri sana wa karibia kila kilichokuwa kikiandikwa hapa

Alikuwa dada na rafiki mwema kwangu. Nitamkumbuka daima

Kwa ruhusa maalum naweka picha yake ya msibani hapa.

Pumzika kwa amani dada yangu niah 😪

View attachment 3115403
Apumzike kwa amani mama yetu
 
Back
Top Bottom