Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza upofu wa akili wewe,usijione wewe ndio bora kuliko wengine,Ikiwa unaamini Yupo Mungu Mmoja Mbinguni na hujui kuwa Jina la Mungu huyo mmoja ni Yesu,
Unaamini usichokijua. Ninakuombea uijue Kweli ikuweke huru.
Amin
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.Punguza upofu wa akili wewe,usijione wewe ndio bora kuliko wengine,
Yesu mwenyewe anasema yeye sio Mungu,ila wewe mlokole wa huko Liwale unamwambia yeye ni Mungu!
YOHANA 5:36
Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe,mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba,nayo hukumu yangu ni ya haki,nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe bali apendavyo yule aliyenituma.
Hivi Mungu anaweza kutumwa?
Sasa kama alileta pigo za kisista duu unadhani inakuaje bruh 😄Wakati wa uhai wake kuna dogo humu alimtokea😀
kabisa mkuu no matter unamjua au humjui mtu lugha iwe nyepesi ili kubalance mamboR.I.P dada yetu..
tuwe na lugha nyepesi humu kwenye kuchangia nyuzi mbalimbali.... kumbe alikuwa ni mama wa heshima zake kabisa..poleni wanandugu.😖
Hakika kwa sababu sikuwa hata na mazoea naye jukwaani before; Mungu alimtuma tu kwangu kunivusha katika kipindi kile kigumu. Kwa hakika ukipata nafasi ya kutenda wema kwa mtu, just do it. Bila kujali kama mnafahamiana au laah. Huwezi jua utabadili vipi maisha ya huyo mtu.Alijaaliwa utajiri wa mali, hekima, upendo ushauri na hakuwa mtu wa kujikweza hata mara moja
Alikuwa Mrembo kweliKwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanajamiiforums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki juzi tarehe 2 Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu
Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko hivyo atatujuza zaidi
Mara ya mwisho kabla ya kurejea nchini alikuwa Lebanon Beirut ambapo mumewe ni mwambata wa ubalozi kule.. Mumewe si raia wa Tanzania
Mazishi ni kesho mjini Bukoba ambako ndiko asili yake
Nilimfahamu mwaka 2017 hapa JF na baadae nje ya JF.. Alikuwa ni mama mwenye upendo mkuu ushauri mwanana asiye na majivuno na aliyekuwa anaisaidia bila kubagua
Hakuwa mshiriki sana kwa maana ya kuandika lakini alikuwa msomaji mzuri sana wa karibia kila kilichokuwa kikiandikwa hapa
Alikuwa dada na rafiki mwema kwangu. Nitamkumbuka daima
Kwa ruhusa maalum naweka picha yake ya msibani hapa.
Pumzika kwa amani dada yangu niah 😪
View attachment 3115403
Mimi nakupa andiko wewe unaleta porojo za kilokole hapa!Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.
BIBLIA huijui, karibu darasani, keti chini Kisha ukubali kufundishwa uelewe!!
Kumbe alikuwa mkweli, alijinasibu kuwa yeye ni bibi.Kwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanajamiiforums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki juzi tarehe 2 Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu
Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko hivyo atatujuza zaidi
Mara ya mwisho kabla ya kurejea nchini alikuwa Lebanon Beirut ambapo mumewe ni mwambata wa ubalozi kule.. Mumewe si raia wa Tanzania
Mazishi ni kesho mjini Bukoba ambako ndiko asili yake
Nilimfahamu mwaka 2017 hapa JF na baadae nje ya JF.. Alikuwa ni mama mwenye upendo mkuu ushauri mwanana asiye na majivuno na aliyekuwa anaisaidia bila kubagua
Hakuwa mshiriki sana kwa maana ya kuandika lakini alikuwa msomaji mzuri sana wa karibia kila kilichokuwa kikiandikwa hapa
Alikuwa dada na rafiki mwema kwangu. Nitamkumbuka daima
Kwa ruhusa maalum naweka picha yake ya msibani hapa.
Pumzika kwa amani dada yangu niah 😪
View attachment 3115403
Ni misiba imeambatana ila haihusiani kabisaRip dida masham sham💔🥺
Hakuwa na hizo pigo kabisa basi tu mchizi aliamua kuruka naye! Si unajua mambo ya try n errorSasa kama alileta pigo za kisista duu unadhani inakuaje bruh 😄
HapanaR.I.P
Mme wake alikuwa Lebanon??? Lebanon kwa Hezbollah.