TANZIA MwanaJF mwenzetu Erick Kalemela amefariki dunia

TANZIA MwanaJF mwenzetu Erick Kalemela amefariki dunia

Ninayo masikitiko makubwa kuwataarifu msiba wa mwenzetu Erick Kalemela uliotokea nchini India jana tar 23 Mei 2022 saa 3 asubuhi majira ya India, alipokuwa anapokea matibabu.

Mwili unatarajiwa kuwasili siku ya Alhamisi kwa ajili ya taratibu za mazishi yatakayofanyika kwao Kahama.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Poleni sana wafiwa
R.I.P
 
Ninayo masikitiko makubwa kuwataarifu msiba wa mwenzetu Erick Kalemela uliotokea nchini India jana tar 23 Mei 2022 saa 3 asubuhi majira ya India, alipokuwa anapokea matibabu.

Mwili unatarajiwa kuwasili siku ya Alhamisi kwa ajili ya taratibu za mazishi yatakayofanyika kwao Kahama.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pumzika kwa amani Mr Erick

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIP, Eric hivi huyu alikuwa akiishi huko huko kahama na pia alijishughulisha na nini hapo kabla?

Maana huko kahama ninajamaa yangu anatumia jina hili na kwa bahati mbaya nilipoteza mawasiliano yake kwa muda mrefu kidogo.
 
RIP, Eric hivi huyu alikuwa akiishi huko huko kahama na pia alijishughulisha na nini hapo kabla?

Maana huko kahama ninajamaa yangu anatumia jina hili na kwa bahati mbaya nilipoteza mawasiliano yake kwa muda mrefu kidogo.
Alikuwa akiishi huko. Alikuwa mchimbaji madini.
 
RIP, Eric hivi huyu alikuwa akiishi huko huko kahama na pia alijishughulisha na nini hapo kabla?

Maana huko kahama ninajamaa yangu anatumia jina hili na kwa bahati mbaya nilipoteza mawasiliano yake kwa muda mrefu kidogo.
Huwa nikikutana na tangazo la namna hii, huwa nawaza sana. Hivi sisi ambao hatuna watu au mtu ambaye anatufahamu kwa majina yetu haya ya bandia hapa JF, tukifa, itakuwa kimya tu, kama vile tumeamua kuwa kimya tu, kama Bia yetu alivyoamua kuwa kimyaaaaa!
 
Back
Top Bottom