Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Kwanini Allah abaki pekeyake, huoni huo ni ubaguzi dhidi ya Binadamu?انا لله وانا اليه راجعون
Kila nafsi itaonja umauti,,isipokuwa Allah peke yake atabakia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini Allah abaki pekeyake, huoni huo ni ubaguzi dhidi ya Binadamu?انا لله وانا اليه راجعون
Kila nafsi itaonja umauti,,isipokuwa Allah peke yake atabakia.
Una uhakika Bia yetu kadanja na si kwamba atakuwa kabadili ID ?Huwa nikikutana na tangazo la namna hii, huwa nawaza sana. Hivi sisi ambao hatuna watu au mtu ambaye anatufahamu kwa majina yetu haya ya bandia hapa JF, tukifa, itakuwa kimya tu, kama vile tumeamua kuwa kimya tu, kama Bia yetu alivyoamua kuwa kimyaaaaa!
Umestuka kwamba unataka kupigwa mchango wa rambi rambi au unamaanisha nini?Aisee, ni wapi alikuwa akichimba mwime,bushimangila,mwakitolyo au tambarare?
Hapa nimestuka kesho nitawauliza jamaa zangu waliopo huko kahama
Hii ndiyo inatakiwa iwe kauli mbiu kwa ustawi mzuri bila kuegemea upande wowote ule kidini, si kumpangia Mungu na kumlazimisha namna ya kufanya na Marehemu.Mungu ampumzishe mahala anapostahili[emoji1431]
Poleni sana wafiwa.Ninayo masikitiko makubwa kuwataarifu msiba wa mwenzetu Erick Kalemela uliotokea nchini India jana tar 23 Mei 2022 saa 3 asubuhi majira ya India, alipokuwa anapokea matibabu.
Mwili unatarajiwa kuwasili siku ya Alhamisi kwa ajili ya taratibu za mazishi yatakayofanyika kwao Kahama. Hadi sasa msiba uko nyumbani kwake/kwao Kahama.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
R.I.P Erick Kalemela. Mungu akujalie Punziko Jema[emoji26]Ninayo masikitiko makubwa kuwataarifu msiba wa mwenzetu Erick Kalemela uliotokea nchini India jana tar 23 Mei 2022 saa 3 asubuhi majira ya India, alipokuwa anapokea matibabu.
Mwili unatarajiwa kuwasili siku ya Alhamisi kwa ajili ya taratibu za mazishi yatakayofanyika kwao Kahama. Hadi sasa msiba uko nyumbani kwake/kwao Kahama.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Basi mimi ntachukiwa sana maana niko kama GENTAMYCINEMungu amrehemu na kumpokea mwanae mpendwa Erick. Pumzika kwa amani mpita njia mwenzetu, naso muda si mrefu njia yetu itafika kikomo tuungane nawe huko mapumzikoni kwa BABA.
NB. Tujitahidi kua na michango/comments zisizo na machukizo kwa wengine..Mtu akifa humu ndio tunaanza kuchunguza aina ya michango yake. Ni wazo langu tu lakini
Sure?!We really feel lost without you