Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nisaidie nahisi huyu jamaa nilisoma naeRest in Peace Erick. Mwezi uliopita aliahidi kunisaidia suala fulani, leo ameondoka. It's so painful
Last seen 22.5.2022! Then 23.5.2022 kafariki! RIP Mr ErickNinayo masikitiko makubwa kuwataarifu msiba wa mwenzetu Erick Kalemela uliotokea nchini India jana tar 23 Mei 2022 saa 3 asubuhi majira ya India, alipokuwa anapokea matibabu.
Mwili unatarajiwa kuwasili siku ya Alhamisi kwa ajili ya taratibu za mazishi yatakayofanyika kwao Kahama. Hadi sasa msiba uko nyumbani kwake/kwao Kahama.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Mkuu, hapo tunakosa jibu sahihi. Wengi kwenye familia hii ya JF, hatuna mtu wa pili anayekufahamu. Hivyo, ukipatwa na tukio lolote, basi hapa haiji taarifa yoyote, zaidi ya kuileta wewe mwenyewe!Una uhakika Bia yetu kadanja na si kwamba atakuwa kabadili ID ?
Mkuu huyu alikuwa akichimba pekee au ni mtengeneza crusher?Rest in Peace Erick. Mwezi uliopita aliahidi kunisaidia suala fulani, leo ameondoka. It's so painful
RIP ErickNinayo masikitiko makubwa kuwataarifu msiba wa mwenzetu Erick Kalemela uliotokea nchini India jana tar 23 Mei 2022 saa 3 asubuhi majira ya India, alipokuwa anapokea matibabu.
Mwili unatarajiwa kuwasili siku ya Alhamisi kwa ajili ya taratibu za mazishi yatakayofanyika kwao Kahama. Hadi sasa msiba uko nyumbani kwake/kwao Kahama.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.