Maria Nyedetse
JF-Expert Member
- Apr 24, 2021
- 661
- 1,501
Mola Mlezi hana sifa ya kulala, kuchoka, kuzaliwa, kuoa au KUFA.... YEYE ni wa MILELE, HANA MWANZO WALA MWISHO...
Kufa kama kulivyo kuzaliwa ni TRANSITION KWENDA KWENYE HATUA NYINGINE YA MAISHA.
Innalillah wainailayh rajiuun.... hakika Sisi sote ni wa Mola Mlezi na kwake sote tutarejea!!!!
Kufa kama kulivyo kuzaliwa ni TRANSITION KWENDA KWENYE HATUA NYINGINE YA MAISHA.
Innalillah wainailayh rajiuun.... hakika Sisi sote ni wa Mola Mlezi na kwake sote tutarejea!!!!
Kwanini Allah abaki pekeyake, huoni huo ni ubaguzi dhidi ya Binadamu?