TANZIA MwanaJF mwenzetu, Rubawa amefariki dunia

TANZIA MwanaJF mwenzetu, Rubawa amefariki dunia

Siku nikifa ole wake mtu abandike picha zangu hapa, ntakuwa namktokea kila siku usiku hatalala.

R.I.P Rubawa.
 
Acha ushamba mzee...mimi pia wakala wa mpesa kwa mwezi nalaza karibu milioni moja hiyo ni commision tu..nina vifaa vya umeme kwenye hiyo office nimeajili vijana wawili ....wanalala kwangu nawalisha na mshahara wao sio chini ya 150000 kwa kila mmojaa......hiyo commision haihusiani na mshahara hiyo ikitoka ni direct inaingia bank...vifaa vya umeme na simu ndivyo vinawalipa....endelea kudharau watu huku kwa mwezi unapokea laki tano tena yenye makato ...[emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna baadhi ya watu akili zao bado zipo chini mkuu wala usihangaike nao.
 
Kuna vifo vya Mungu na vifo vya wakuu wa giza...

Kuna watu Roho zao zinatumikishwa bado duniani na wakuu wa giza...

Watu hufikiri vifo vyote ni vya Mungu...

NB: Watu wengi hawajafa kifo cha Mungu
Kwahiyo mungu na yeye anaua ?


Pumbavu na jinga kabisa wewe
 
Back
Top Bottom