Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili neno mnalikosea sana apumzike Kwa amani mnajua matendo yake before his death? Mungu sio mjinga kiasi hiki jamani matendo Yako yatafutana na wewe siku ukifa RIP hazisaidii chochoteApumzike kwa Amani
Huu ujinga sijui mtauacha lini aiseeMungu amlaze mahali pema peponi
Kuna baadhi ya watu akili zao bado zipo chini mkuu wala usihangaike nao.Acha ushamba mzee...mimi pia wakala wa mpesa kwa mwezi nalaza karibu milioni moja hiyo ni commision tu..nina vifaa vya umeme kwenye hiyo office nimeajili vijana wawili ....wanalala kwangu nawalisha na mshahara wao sio chini ya 150000 kwa kila mmojaa......hiyo commision haihusiani na mshahara hiyo ikitoka ni direct inaingia bank...vifaa vya umeme na simu ndivyo vinawalipa....endelea kudharau watu huku kwa mwezi unapokea laki tano tena yenye makato ...[emoji16][emoji16][emoji16]
Ukifa nitataarifu jukwaa usihofu.R.i.p.
Na mimi nkfa humu ndan nan atajua kfo changu
[emoji4][emoji4][emoji4]
Atoe taarfa kwa members
Kwahiyo mungu na yeye anaua ?Kuna vifo vya Mungu na vifo vya wakuu wa giza...
Kuna watu Roho zao zinatumikishwa bado duniani na wakuu wa giza...
Watu hufikiri vifo vyote ni vya Mungu...
NB: Watu wengi hawajafa kifo cha Mungu
Kwanini mnafikiria hiyo ndiyo ilikuwa shughuli pekee iliyompatia kipato?Marekani, cape town Dar ila kutembea kote huko alikuwa wakala wa mpesa maisha haya dah
RIP RUBAWA
Ujinga upi nduguHuu ujinga sijui mtauacha lini aisee