Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
am still in shock..dah🙌..rip rafikiAmefariki ghafla, hakuwa mgonjwa.
RIPAmefariki ghafla, hakuwa mgonjwa.
Hivi ukidondoka ghafla siyo Heart attack?Wachawi washamchukua...
Mkuu, tuko kwenye maombolezo. Rekebisha hiyo emoji ya pili kutokea mwishoApumzike kwa Amani 😭😭😭😭😭😭😥😂😥
📌Alikuwa siyo mchangiaji sana, ni msomqji sana.
Nilikuwa naziona likes zake tu kwenye posts zangu.
Heart attack ukinusurika unapigwa stroke.R.I.P. vipi hapan'shaka hajarogwa manake waswahili jealous sana.
Mmeanza.Apumzike kwa Amani , niliwahi kuonana naye Maryland
TayariMkuu, tuko kwenye maombolezo. Rekebisha hiyo emoji ya pili kutokea mwisho
Tumeanza nini ?Mmeanza.
Apumzike kwa Amani!MwanaJF mwenzetu Rubawa amefariki jana nchini Marekani!
Marehemu alikuwa akiishi Dar na Cape Town, Afrika Kusini kabla ya kwenda Marekani miezi michache iliyopita.
Rest easy bro, Hamidu Rubawa!
View attachment 2828672View attachment 2828673
Yaani[emoji34]Ilala imezizima. Poleni sana wana ilala.
Alikuwa ndo kaanza kazi Marekani baada ya ku kuhustle dizonga kwa muda mrefu.
Mungu awatie nguvu wafiwa...
Duh hadi unaweza kusema katupiwa mdudu.
Acha ushamba mzee...mimi pia wakala wa mpesa kwa mwezi nalaza karibu milioni moja hiyo ni commision tu..nina vifaa vya umeme kwenye hiyo office nimeajili vijana wawili ....wanalala kwangu nawalisha na mshahara wao sio chini ya 150000 kwa kila mmojaa......hiyo commision haihusiani na mshahara hiyo ikitoka ni direct inaingia bank...vifaa vya umeme na simu ndivyo vinawalipa....endelea kudharau watu huku kwa mwezi unapokea laki tano tena yenye makato ...[emoji16][emoji16][emoji16]Marekani, cape town Dar ila kutembea kote huko alikuwa wakala wa mpesa maisha haya dah
RIP RUBAWA