Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aise maisha bwana yani mtu unaanza kutusua ndio na umauti unakukuta, inna lillahi wa inna ilaihi rajiunIlala imezizima. Poleni sana wana ilala.
Alikuwa ndo kaanza kazi Marekani baada ya ku kuhustle dizonga kwa muda mrefu.
Mungu awatie nguvu wafiwa...
Duh hadi unaweza kusema katupiwa mdudu.
Pole kwa wafiwa wote!MwanaJF mwenzetu Rubawa amefariki jana nchini Marekani!
Marehemu alikuwa akiishi Dar na Cape Town, Afrika Kusini kabla ya kwenda Marekani miezi michache iliyopita.
Rest easy bro, Hamidu Rubawa!
View attachment 2828672View attachment 2828673
Haiko sawa kuweka wazi picha zake ikiwa alitumia id fakeAmefariki ghafla, hakuwa mgonjwa.
Inna lillah wainna ilayhi rajiuunMwanaJF mwenzetu Rubawa amefariki jana nchini Marekani!
Marehemu alikuwa akiishi Dar na Cape Town, Afrika Kusini kabla ya kwenda Marekani miezi michache iliyopita.
Rest easy bro, Hamidu Rubawa!
View attachment 2828672View attachment 2828673
Kuna ubaya gani kuweka picha? wengine tulikuwa hatumfahamu. RIP Rubawa😭Marehemu anakuruhusu vipi kuonyesha picha yake?
Kama alikuwa super agent?Marekani, cape town Dar ila kutembea kote huko alikuwa wakala wa mpesa maisha haya dah
RIP RUBAWA
Sio kweli. Ndio maana kuna adhabu ya anayeua na yeye auwawe. Ingekuwa hivyo kusingekuwa na adhabu ya kunyongwa etcNyie walokole mna tabu sana,kila kiumbe kinakufa kwa amri ya Mungu,
Acha kufuga ujinga kwenye hilo fuvu lako.
Marehemu hakuwa akitumia ID fake.Haiko sawa kuweka wazi picha zake ikiwa alitumia id fake