Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 30, 2023 #221 Pole yao sana wafiwa...
mtoto wa kibopa JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 5,274 Reaction score 6,257 Nov 30, 2023 #222 Meneja Wa Makampuni said: Kuna baadhi ya watu akili zao bado zipo chini mkuu wala usihangaike nao. Click to expand... Wanajionaga wametoboa kweli huko nyuma ya keyboard ila kiuhalisia ukiwaona hali ni mbayaaa
Meneja Wa Makampuni said: Kuna baadhi ya watu akili zao bado zipo chini mkuu wala usihangaike nao. Click to expand... Wanajionaga wametoboa kweli huko nyuma ya keyboard ila kiuhalisia ukiwaona hali ni mbayaaa
Rhz4567 JF-Expert Member Joined Mar 16, 2018 Posts 4,893 Reaction score 6,599 Nov 30, 2023 #223 Inalilah wainajlah rajiun
binti kiziwi JF-Expert Member Joined Aug 4, 2014 Posts 11,201 Reaction score 28,642 Nov 30, 2023 #224 Rest easy mate.
C Colonel McCoy JF-Expert Member Joined Aug 15, 2023 Posts 305 Reaction score 584 Nov 30, 2023 #225 Pole kwa wafiwa ,ndugu jamaa na marafiki.
K Kiduila JF-Expert Member Joined Jun 22, 2017 Posts 210 Reaction score 279 Nov 30, 2023 #226 Innaa lillahi wa innaaa ilaihi raajiuun, Allah ampe kauli thabit.
Sean Paul JF-Expert Member Joined Jun 16, 2013 Posts 1,330 Reaction score 3,289 Dec 28, 2023 #227 Bwana Hamidu Rubawa amezikwa kijijini Yombo, wilayani Kisarawe. Vijana tuhangaike na maisha tukumbuke ibada, Mwanetu tumeenda kumwacha porini huko bila ndugu, jamaa wala chochote. Ni yeye na Mungu wake. Innaa lillahi wainna ilayhi raajiun.
Bwana Hamidu Rubawa amezikwa kijijini Yombo, wilayani Kisarawe. Vijana tuhangaike na maisha tukumbuke ibada, Mwanetu tumeenda kumwacha porini huko bila ndugu, jamaa wala chochote. Ni yeye na Mungu wake. Innaa lillahi wainna ilayhi raajiun.
Da'Vinci JF-Expert Member Joined Dec 1, 2016 Posts 35,812 Reaction score 107,628 Mar 15, 2024 #228 Nimejikuta namkumbuka huyu bro... Pumzika kwa amani bro ulikua peace sana ndani na nje ya Jf😢😥😥
Lambardi Platinum Member Joined Feb 7, 2008 Posts 18,813 Reaction score 21,830 Mar 15, 2024 #229 Ri P Mwamba Rubawa....