TANZIA MwanaJF mwenzetu, Rubawa amefariki dunia

Bwana Hamidu Rubawa amezikwa kijijini Yombo, wilayani Kisarawe.
Vijana tuhangaike na maisha tukumbuke ibada,
Mwanetu tumeenda kumwacha porini huko bila ndugu, jamaa wala chochote. Ni yeye na Mungu wake.
Innaa lillahi wainna ilayhi raajiun.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…