Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Watu tunafahamiana mbona!Hizi ID ni feki, nyie mnajuaje?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu tunafahamiana mbona!Hizi ID ni feki, nyie mnajuaje?!
[emoji23][emoji23][emoji23]nimechekaMnamjibu wa nini? Mtu mzima anaulizaje swali la kitoto namna hiyo
Duh
IAA Arusha mkuu umesoma advanced ,mwaka gani?Pia nimesoma nae iaa Arusha pale na alibyokuja kuchukuwa Chet chake cha CPA pia tulionana dsm kibo pale
Shambooni kyoooHata Mimi ninakufahamu
Hahahaaa. Tafuta rafiki mmoja hasa wa kwenu mimi nimeshawishi watu wengi kujiunga humu kupata habari zaidi ya 100. Tatizo wengi ni wasomaji tu. Hivyo twajuana. Hakuna madhara labda km unaandika uchochezi mwingiPole ya wafiwa wote,
Najiwazia mimi nitakapokufa nani atajua humu? anyway mkiona kimya zaidi ya mwaka mjue nipo kwa baba namimi[emoji44]
[emoji16][emoji16][emoji16] watu wanakera na maswali yao ya kipuuzi[emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka
Halafu ww ujue mambo ya kuibiwa cm haya na no tukapotezana