Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
apumzike kwa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nami niko peke yangu, nitakufa mazimaa kwakweliHii hua unakuta unarafkiako anatumia jf ikiwa naww unatumia jf pia ID mnajuana ikitokea mmoja anatoa taarifa ila kwa upande wangu nipo pekeangu
naogopa ndugu yangu, hapana hunijui kabisaNakujua vizur Sana Zama pm nkupe details zako hutoamin
Udongo unaondoka tu JF Members. R.I.P Kwake na pole nyingi sana kwa Familia yake, Ndugu, Jamaa, Marafiki na wana JamiiForums wote kwa Msiba huu.Ndugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo tarehe 23 Februari kwao Rungwe .
Apumzike salama
wanafahamiana tuHuwa mnajuaje na hizi fake id
Hii gari yake mpaka leo bado ipo pale check point ya Igawa nyuma ya kibanda cha matrafiki.
Mm pia tumesoma nae iaa mkuuYas mi wa Kyela yeye wa tukuyu ila tumesoma nae chuo na nimeshirikiana nae mambo mengi
Pia nimesoma nae iaa Arusha pale na alibyokuja kuchukuwa Chet chake cha CPA pia tulionana dsm kibo paleChuo gani?
Tunafahamika kiongozi hapa watoto wangu wawili wananiita MamndenyiHuwa mnamtambuaje mwanaJf akifariki? Wakati wengi wanatumia I’d fake
Hata Mimi ninakufahamuTunafahamika kiongozi hapa watoto wangu wawili wananiita Mamndenyi
Pia wapo member wengine tunajuana vizuri tu