TANZIA MwanaJF Ndikwega afariki dunia katika ajali ya gari eneo la Igawa

TANZIA MwanaJF Ndikwega afariki dunia katika ajali ya gari eneo la Igawa

Apumzike kwa amani , ilikuwa moja ya nguzo ya kupigania haki za Rungwe
 
Igawa kuna mkeka mmoja unashawishi sana..kukimbia..kwa safari za mbali ni muhimu sana kua na red bull 4 au 6 ili kuondoa uchovum...
Ukizingatia katika kupandisha nakushusha mlima nyoooka na pale alitamani awahi kazini auchezee ule mkeka Hadi kwaheri mbeya karibu njombe
 
Ndugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.

Mazishi yamefanyika leo tarehe 23 Februari kwao Rungwe .

Apumzike salama
i feel sorry, uwekwe utaratibu wa rambirambi
 
Ni suala la muda tu kila mtu atavuka mto! Roho ya marehemu ipate rehema kwa Mungu, apumzike kwa amani
 
Ukizingatia katika kupandisha nakushusha mlima nyoooka na pale alitamani awahi kazini auchezee ule mkeka Hadi kwaheri mbeya karibu njombe
Kweli ule mkeka ni balaa wiki kadhaa nilikua sijaangalia speed o meter chuma kilikua kimefika 150 kimasihara..kabisa..
 
Najua kuna siku 1 namimi nitaenda ila ki ukweli siku hizi naumia nikisikia msiba,naumiaaa
 
Ndugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.

Mazishi yamefanyika leo tarehe 23 Februari kwao Rungwe .

Apumzike salama
Pole kwa familia yake.Mbele yake nyuma yake.
 
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe...Amen RIP Ndikwegha..
 
Back
Top Bottom