kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,742
Chuo gani?Yas mi wa Kyela yeye wa tukuyu ila tumesoma nae chuo na nimeshirikiana nae mambo mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuo gani?Yas mi wa Kyela yeye wa tukuyu ila tumesoma nae chuo na nimeshirikiana nae mambo mengi
labda umepost halafu baadae ndio ufikirieHuwa mnajuaje na hizi fake id
Huyu nimuhehe aliyeroea mbeya ,ndikwega nikihehe tafsiri isiyo rasmi kwakiswahili ni kivuta apumzike kwa amaniRIP Ndikwega
usithubutu uwe umelewa au mning'inio(hangover) mkali uleMUNGU amenilinda mara nyingi..najitahd kusafiri nikiwa sijalewa
natamani siku tutangaze michango tufanye party tuone haiwezekani misiba ndo iwe utambulisho wetu kamili wa kiduguRIP Member
Hivi watu humu Kuna wengine Mwafahamiama Vyema kabisa ?
Ukizingatia katika kupandisha nakushusha mlima nyoooka na pale alitamani awahi kazini auchezee ule mkeka Hadi kwaheri mbeya karibu njombeIgawa kuna mkeka mmoja unashawishi sana..kukimbia..kwa safari za mbali ni muhimu sana kua na red bull 4 au 6 ili kuondoa uchovum...
Hapohapo unapata vitamini D,mudahuohuo usingizi unakujia na uchomvu flani .....mungu amrehemuKale Ni noma mzee kalitesa Sana Arusha to babati niliona Kama naenda dar
Hangover sio poa
i feel sorry, uwekwe utaratibu wa rambirambiNdugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo tarehe 23 Februari kwao Rungwe .
Apumzike salama
Kweli ule mkeka ni balaa wiki kadhaa nilikua sijaangalia speed o meter chuma kilikua kimefika 150 kimasihara..kabisa..Ukizingatia katika kupandisha nakushusha mlima nyoooka na pale alitamani awahi kazini auchezee ule mkeka Hadi kwaheri mbeya karibu njombe
Pole kwa familia yake.Mbele yake nyuma yake.Ndugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo tarehe 23 Februari kwao Rungwe .
Apumzike salama