Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Red bull sita? Unatafuta kifo weweIgawa kuna mkeka mmoja unashawishi sana..kukimbia..kwa safari za mbali ni muhimu sana kua na red bull 4 au 6 ili kuondoa uchovum...
Kwani mnajindanganya kwamba JF ndio mmejificha?Kweli Mkuu, tunaweza tukawa tunajishebedua kumbe tuko uchi!!
Sijui amekufaje hapo, mbona upande wa dereva haujadhurika kivile!daaaah, noma sana
ukiona ivi unaweza sema 'sinunui gari'
My condolenceNdugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo kwao Rungwe .
Apumzike salama
Fanya hivyo na mimi basNakujua vizur Sana Zama pm nkupe details zako hutoamin
Kamba duhSijajua ajali ilisababishwa na nini lakini mwendo kasi unaua.
Juzi niko barabarani na jamaa ananiambia angekuwa yeye ndiye mwenye gari yangu hata V8 wangekuwa wanaisoma namba. Hii inaonesha namna gani watu wanapenda mwendokasi bila kujali kuwa viwango vya barabara zetu havikidhi mwendokasi wa baadhi ya magari.
Cha ubaruki hichiHicho Kinyakyusa cha Kyela sio Tukuyu!
Tatizo la sisi wana jamii forum hatutumii majina yetu OG ndiyo maana hatujuwaniNdugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo kwao Rungwe .
Apumzike salama
Sema mimi sina yoyote anaenijua humu ikitokea ya kutokea inakua kmy tuWatu tunajuana humu mkuu. Kama mimi nina rafiki zangu wakubwa humu wananijua fika akiwemo huyu syllae toka nitoke tangu tunavaa kaptula
Hii hua unakuta unarafkiako anatumia jf ikiwa naww unatumia jf pia ID mnajuana ikitokea mmoja anatoa taarifa ila kwa upande wangu nipo pekeanguPole ya wafiwa wote,
Najiwazia mimi nitakapokufa nani atajua humu? anyway mkiona kimya zaidi ya mwaka mjue nipo kwa baba namimi[emoji44]
YaaaTutumie Avatar yake
Kabisa na kupanga wakati mwingine kuonana kupata japo sodaRIP Member
Hivi watu humu Kuna wengine Mwafahamiama Vyema kabisa ?