TANZIA MwanaJF Ndikwega afariki dunia katika ajali ya gari eneo la Igawa

TANZIA MwanaJF Ndikwega afariki dunia katika ajali ya gari eneo la Igawa

inna lillahi waina ilaihi rajioon.
Sisi ni wa mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
 
Watu tunajuana humu mkuu. Kama mimi nina rafiki zangu wakubwa humu wananijua fika akiwemo huyu syllae toka nitoke tangu tunavaa kaptula
Nitamwomba Sllay aniambie ww ni nani 😁😁😁😁😁😁😁
 
Ndugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.

Mazishi yamefanyika leo kwao Rungwe .

Apumzike salama
Nimezipokeaa hz taharifa kwa uzuni sna namjuwa vzr Sana tumesoma nae chuo kimoja na pia Ni mfanyakaz wa hazina ndgo hapo njombe ila sijawai kujuwa kuwa Yuko huku until Jana nilivyoona taarifa ya kifo chake nilishtuka sna kwani mwezi wa January nilikuwa nae hapa kibo akiwa amefika dsm hapa kuja kuchukuwa cheti chake Cha CPA niseme tu tulizunguza mengi kidg na yey kwani ananijuwa vzr San na ikumbwe kuwa hii ajali ilikuwa ya pili kwan alinihadidhia kuwa alipata ajali nyingine na kuharibu gar yake vbya mno kweny show ya mbele na kumgarimu mamilion ya pesa picha za ajali yake ninazo na nitazishare humu ndani muda siyo mrefu kwani Ni rfk yangu pia ni class mate wangu pia .mungu amlaze mahali pema peponi Amina
 
Ndugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.

Mazishi yamefanyika leo kwao Rungwe .

Apumzike salama
Sijajua ajali ilisababishwa na nini lakini mwendo kasi unaua.

Juzi niko barabarani na jamaa ananiambia angekuwa yeye ndiye mwenye gari yangu hata V8 wangekuwa wanaisoma namba. Hii inaonesha namna gani watu wanapenda mwendokasi bila kujali kuwa viwango vya barabara zetu havikidhi mwendokasi wa baadhi ya magari.
 
Back
Top Bottom