Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
kwanza apumzike kwa amani, pili humu najua zaidi ya watu sita kwa ID hizo hizo za ajabu ajabu.Huwa mnajuaje na hizi fake id
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanza apumzike kwa amani, pili humu najua zaidi ya watu sita kwa ID hizo hizo za ajabu ajabu.Huwa mnajuaje na hizi fake id
Pole ya wafiwa wote,
Najiwazia mimi nitakapokufa nani atajua humu? anyway mkiona kimya zaidi ya mwaka mjue nipo kwa baba namimi. 😲
Amekupenda zaidi!Pole ya wafiwa wote,
Najiwazia mimi nitakapokufa nani atajua humu? anyway mkiona kimya zaidi ya mwaka mjue nipo kwa baba namimi😲
Hicho Kinyakyusa cha Kyela sio Tukuyu!Nkamu gwango mmanyani gwango ndondo mwinango nsobhisye onkamu gwango. Ngale nsikwamini Naolo. Kyala atotolege
Pole sana sana. Ndio safariNimezipokeaa hz taharifa kwa uzuni sna namjuwa vzr Sana tumesoma nae chuo kimoja na pia Ni mfanyakaz wa hazina ndgo hapo njombe ila sijawai kujuwa kuwa Yuko huku until Jana nilivyoona taarifa ya kifo chake nilishtuka sna kwani mwezi wa January nilikuwa nae hapa kibo akiwa amefika dsm hapa kuja kuchukuwa cheti chake Cha CPA niseme tu tulizunguza mengi kidg na yey kwani ananijuwa vzr San na ikumbwe kuwa hii ajali ilikuwa ya pili kwan alinihadidhia kuwa alipata ajali nyingine na kuharibu gar yake vbya mno kweny show ya mbele na kumgarimu mamilion ya pesa picha za ajali yake ninazo na nitazishare humu ndani muda siyo mrefu kwani Ni rfk yangu pia ni class mate wangu pia .mungu amlaze mahali pema peponi Amina
kweli, ule mkeka kuanzia Mpakani pale Hadi igawa umetulia sana halafu bado mpya mpyaIgawa kuna mkeka mmoja unashawishi sana..kukimbia..kwa safari za mbali ni muhimu sana kua na red bull 4 au 6 ili kuondoa uchovum...
Kale Ni noma mzee kalitesa Sana Arusha to babati niliona Kama naenda darKale kajua kaasubuhi kale kabaya Sana na uwe janayake ulilewa sio mchezo
Baada ya kudukua simu ya marehemu labda.Huwa mnajuaje na hizi fake id
Hata Mimi huwa nashangaa sanaHuwa mnajuaje na hizi fake id
Ndagha musyiile kikoloTosyelile Leno nkamu gwango fijo
daaaah, noma sanaPicha za ajili zake nimeziona zikizagaa ktk mitando mbli mbaliView attachment 2129437View attachment 2129438View attachment 2129440View attachment 2129441View attachment 2129439
Acha uongo wewekwanza apumzike kwa amani, pili humu najua zaidi ya watu sita kwa ID hizo hizo za ajabu ajabu.
Nsubhisyi,mwinangu,gwangu,unkamu,nauluNkamu gwango mmanyani gwango ndondo mwinango nsobhisye onkamu gwango. Ngale nsikwamini Naolo. Kyala atotolege