Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUNGU amenilinda mara nyingi..najitahd kusafiri nikiwa sijalewaKale kajua kaasubuhi kale kabaya Sana na uwe janayake ulilewa sio mchezo
RIP MemberNdugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo kwao Rungwe .
Apumzike salama
Hizi ID ni feki, nyie mnajuaje?!Ndugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo kwao Rungwe .
Apumzike salama
Tosyelile Leno nkamu gwango fijoUkaghone gwa kukaja!
Hizi ID ni feki, nyie n
Ni ndugu yanguRIP Member
Hivi watu humu Kuna wengine Mwafahamiama Vyema kabisa ?
Ukaghone gwa kukaja!
RIP MtaniWatu tunajuana humu mkuu. Kama mimi nina rafiki zangu wakubwa humu wananijua fika akiwemo huyu syllae toka nitoke tangu tunavaa kaptula
Baadhi wanafahamiana mkuu ila ina baki kuwa siri hadi pale ikitokea tatizo kama hivi ndo tunaelezwaHizi ID ni feki, nyie mnajuaje?!
Ww utakuwa una comment kwa aibu humu!!?Watu tunajuana humu mkuu. Kama mimi nina rafiki zangu wakubwa humu wananijua fika akiwemo huyu syllae toka nitoke tangu tunavaa kaptula
R .I.PNdugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo kwao Rungwe .
Apumzike salama
Inawezekana humu mkafahamiana na watu 2 au 3Hizi ID ni feki, nyie mnajuaje?!