TANZIA MwanaJF Ndikwega afariki dunia katika ajali ya gari eneo la Igawa

RIEP Ndikwega
 
Pole ya wafiwa wote,
Najiwazia mimi nitakapokufa nani atajua humu? anyway mkiona kimya zaidi ya mwaka mjue nipo kwa baba namimi[emoji44]
Hahahaaa. Tafuta rafiki mmoja hasa wa kwenu mimi nimeshawishi watu wengi kujiunga humu kupata habari zaidi ya 100. Tatizo wengi ni wasomaji tu. Hivyo twajuana. Hakuna madhara labda km unaandika uchochezi mwingi
 
Wachagga wa kibosho Mango,kirima,kitandu,umbwe,Dakau, Mkomilo, mkosangana,tujuane
 
AMPE SALAMU JPM,MKAPA, NA NYERERE,AWAAMBIA TANZANIA KWA SASA BAADA YA MAGUFULI KUONDOKA IMEKUWA NI SHAMBANI BIBI,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…