Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Ñasubiri kesho in shaa Allah, nadhani moto utawaka
 
Inaonyesha Uhuru FM nao wanemchoka Bashite hivyo wanatafuta vitu vya kunchikoza Gwajima ili kesho afunguke zaidi. Ni kama vile Mwakyembe alivyo julikana kuwa anapenda Lissu awe rais wa TLS awe anamsulubu bosi wake. Akaamua kujifunga Bomu aonekane mbaya lakini amuongezee kura Lissu
 
Gwajima awe makini sana katika hili sakata inaonekana kuna jambo UV ccm wameisha litengeneza kupitia kwa huyo anayehojiwa.Uenda wanataka Gwajima aanze kijibu hizo hoja badala ya kudeal na Bashite au kuna kitu nyuma ya pazia wanataka wamshikishe.Gwajima take care
 
Sasa si alipanua peke yake!!
Mbona hao kibao!! Hiyo nayo KIKI au?
 
Tuache maneno... tupambane na MADAWA YA KULEVYA....
Jamii inaangamia, tuwe wazalendo kwa taifa letu, vitu vinavyoibuliwa havisaidii mapambano dhidi ya madawa ya kulevya Bali vinadumaza vita hiyo....

TUUNGANE PAMOJA TUNAOPINGA BIASHARA HII HARAMU
 
Huyu binti ni yatima mzaliwa wa Gumanga Kiomboi Singida. Alikwenda kutafuta msaada wa kiroho ndipo akakutwa na mambo hayo.
Gumanga si ni karibu na kyengege kwa mwigulu mwana ccm mpanga mikakati?

Nyie wanyiramba vipi?
 
Mbona alipotongozwa na kwenda huko mahali hadi akamvulia chupi hakujitangaza?

Majitu mengine ya ajabu ajabu sana pambaff! Mlipeana wenyewe huko halafu leo ndio utuambie????
 
Back
Top Bottom