Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Hii habari inasaidia vipi juu ya vyeti?? Kwamba Gwajima alizaa na huyu mama
Na Daudi Hana vyeti kwahiyo wote wanafanana au? Huyu anasema aliombwa sasa alikubali au hakubali tuambiane ukweli!!
 
Ngoja tuone kama atakuja kuandaa "misa " ya kumjibu na huyo mama.
maana huwa anatuambia yeye kama baba wa familia akishambuliwa
ni lazima ajibu mapigo. Hivyo tunasubilia majibu yake yatavyokuwa, maana
jamaa kwa kumwaga povu hajambo , utafikili aliwahi kuwa TEAM shilawadu.
Kujiweka safi ni kwenda kwenye vipimo vya DNA.
 
Wakuu Salaam.
Gwajima umetafutwa na utaingia mwenyewe bila kujua , nakuhurumia sana , maana unaulinzi wako na una wapelelezi wako ambao hawatambuliki na serikali, usione ilisemwa wanakwaya wakamatwe ukaendelea, ikaja makanisa yenye vikundi vya karate, usidhani ni bahati mbaya ile, imekuja ya huyu dada sasa najua utasema wewe ni dume amini now your going to be burned by the state.
Mawio lipo hewani, mwanahalisi pia!!
Hayo yote SERIKALI ILIYAPIGA BAN mawakili wamepambana mahakamani na serikali imeangukia pua!!!!!

UNALO??

LIMEWASHUKA SHUUUUUUUU!!
 
Sasa kama huyo dada alikubali kutoa tamu mwenyewe kwa hiari yake mwenyewe maana hakulazimishwa akubali kutoa tamu Bali na yeye alikuwa na hamu faida yake ndo hiyo analalamikia nini
 
Walikua wapi kumleta huyo mtoto kabla ya Bashite kutakiwa kutoa vyeti?

Bashite toa vyeti sio watoto
 
Hapo wamaeshapanga mchongo wakienda kupima DNA mtoa majibu keshajipanga kusema ni 100%.
Wacha porojo weka vyeti kwanza!
 
Mh! Hii sasa kali,ngoja nitege sikio mpaka DNA yupo Tayari...
 
Ushsuri wangu kwa Gwajima muumini atakae kuja kuomba uduma ya kiroho me, na muumini atakaekuja anataka "DUSHE" a.k.a "BOMBA" msukumizie,wala usiofu zote izo ni uduma,ilimladi usibake,kama anasaula mwenyewe viwalo chochea baba Askofu
 
Back
Top Bottom