Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Tena mama mtoto mtu wa mungu na ametaka na yuko tayari kwenda kupima damu
 
Wakuu Salaam.
Gwajima umetafutwa na utaingia mwenyewe bila kujua , nakuhurumia sana , maana unaulinzi wako na una wapelelezi wako ambao hawatambuliki na serikali, usione ilisemwa wanakwaya wakamatwe ukaendelea, ikaja makanisa yenye vikundi vya karate, usidhani ni bahati mbaya ile, imekuja ya huyu dada sasa najua utasema wewe ni dume amini now your going to be burned by the state.
 
Tuwekeeni kadi ya mahudhurio ya clinic na cheti cha tangazo la kuzaliwa kwa mtoto tuone ukweli.

Cheti na mahudhurio kinasaidiaa nn kupata ukweli zaidi ya kupima damu tu kuondoa utata hizi dini hizi ni wiZi mtupu yangu macho tuone movie inapoenda kuishia jumapili kesho labda mchungaji ataongea kitu
 
Sio tu kusikiliza video kabisa yupo clouds anahojiwa na mtangazaji sijui ndio soudbrown
 
hakuna mwenye na uhakika, yaweza ikawa kweli ama laaa, lakini mama ndiye amjuaye BABA wa mtoto,

Pia yaweza kuwa ni kiki hatuwezi jua
 
Gwajima awajibishwe na yeye ikiwa kweli, Lakini hii haimsaidii lolote bashite tunae tu na yeye
 
NILIDHANI AMEBAKWA KUMBE NI MZAZI MWENZIWE....HAHAAAAAAA WANAWAKE WA SIKU HIZI...SI UENDE USTAWI WA JAMII
 
Ikiwa ni kweli kwa nafasi aliyekuwa nayo mchungaji ni aibu yale yale ya mnywa konyagi
 
Nimeamini kweli Bashite alizungusha kama ringi. Mimba tangu uchaguzi Leo mtoto ana miezi 6 haaaaaaa. Alete vyeti mtoto tunalea. Clouds nao wamezidi kutumika ndo mana Radio Efm inawatimulia tu vumbiiii.
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Kwani Gwajima ni nurse?
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Alete vyeti
 
Ngoja tuone kama atakuja kuandaa "misa " ya kumjibu na huyo mama.
maana huwa anatuambia yeye kama baba wa familia akishambuliwa
ni lazima ajibu mapigo. Hivyo tunasubilia majibu yake yatavyokuwa, maana
jamaa kwa kumwaga povu hajambo , utafikili aliwahi kuwa TEAM shilawadu.
ulipoteaga sijui ulienda wapi Sasa umerydi jamv in. Rudisha Ile avatar picha yako ya zaman ya hitler
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Kwa hiyo umekuja hapa ili umsafishe Bashite,uyo mama mwambie kama kazalishwa na Gwajima alipanua mwenyewe kwa nyege zake,wakati anapanuliwa alienda kwenye media,na wewe kama unaona uyo mama alifaidi na wewe kampanulie Gwajima ili muwe kampuni moja,acha upoyoyo bwege wee.
 
Tunda tunda hilo hapa watumishi wengi wanaanguka kama kweli amchukue mtoto
 
Back
Top Bottom