Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Issue vyeti sio hayo Mambo binafsi. Na issue haswa ni kuhusu nafasi ya umma, hata huyo anaetuhumiwa angekuwa anaendelea na kazi yake ya ukonda hakuna mtu angehoji juu ya elimu yake.
 
Ukiona jambo huelewi fahamu kuwa jambo hilo halikuhusu hivyo yakupasa uliache liende
Rubii ndio umeamua kunipa za uso waz wazi..lol!! Sikuwa serious kivile..
Pole kama nime ku offend. Wasnt my intention
 
MIMI NA MANGE
tutamtea.
aliibakwa au...
alitumwa kaka yake gwajima aikuwalipa mmemtuma huyu

Kwani shida iko wapi si kuna dna gwajima ajisafishe na vipimo kisha aendelee na uzi wake wa vyeti kwanza umemsikia dada anavyoongea kama ametumwa basi doh uongo ameweza kuupangilia
 
Tupe frequency, maana tulishaisahau hii redio kama ipo nchii hii
 
Kwa mfano ikatokea ni kweli...nyie mnaopinga anachokieleza mtasema nini after...

Nawaza tu..
 
madhaifu ya askofu sio utetezi wa uovu wa jambazi la vyeti.
 
Tutaanza kuwasikiliza watu kama huyu, baada ya Bashite kuonyesha cheti chake.
 
Hapa prezdaa roho yake itakua imesawazika sana
 
Huduma si alitongozwa kwa maneno mazuri na kuahidiwa maisha mazuri unadhan hata ungekuwa wewe ungefanyaje
ukitongozwa shurti ukubaliane kwanza na matokeo ya kukubali kwako kabla ya kuanika vilivyo chini ya kitovu !
 
Mbona huyo mdada mwenyewe kama kalishwa unga wa ndere hivi...??
msikilize kwa makini huku ukimtafakari kwa kutumia hisia ya mlango wa 6 wa fahamu.
 
749e07331c48be5a0f8c035fba07a5f1.jpg
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Ha ha ha wakimaliza watuletee vyeti hadanganyiki mtu hapa
 
Vyeti na kutishia matajiri ili ajipatie mali ni vitu ambavyo Bashite atakiwa kuvitolea maelezo sio kutuletea hawa kina mama
 
Tuwekeeni kadi ya mahudhurio ya clinic na cheti cha tangazo la kuzaliwa kwa mtoto tuone ukweli.
 
Back
Top Bottom