kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,695
- 2,144
Issue vyeti sio hayo Mambo binafsi. Na issue haswa ni kuhusu nafasi ya umma, hata huyo anaetuhumiwa angekuwa anaendelea na kazi yake ya ukonda hakuna mtu angehoji juu ya elimu yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rubii ndio umeamua kunipa za uso waz wazi..lol!! Sikuwa serious kivile..Ukiona jambo huelewi fahamu kuwa jambo hilo halikuhusu hivyo yakupasa uliache liende
MIMI NA MANGE
tutamtea.
aliibakwa au...
alitumwa kaka yake gwajima aikuwalipa mmemtuma huyu
ukitongozwa shurti ukubaliane kwanza na matokeo ya kukubali kwako kabla ya kuanika vilivyo chini ya kitovu !Huduma si alitongozwa kwa maneno mazuri na kuahidiwa maisha mazuri unadhan hata ungekuwa wewe ungefanyaje
Gwajima apime DNA kwa kushtakiwa redio utumwa!!?Gwajima pima DNA. Bashite leta vyeti.
Ha ha ha wakimaliza watuletee vyeti hadanganyiki mtu hapaHii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Ngoja wamtie pilipili machoni waoneGwajima alisema akichokozwa tena wiki hii atafumuka upya hapendi ujinga
Huyo alikuwepo akipewa hiyo mimba? Watu wengine matumbo yanawafanya wajidhalilishe tuSasa hivi anahojiwa kaka yake na binti.