Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Kama kiumbe ni cha Gwajima ampelekee kwani kuna shida gani! La sivyo asepe kwani muda wote huo alikuwa wapi kusema.
 
Naona Gwajima achague Kufanya kazi ya Kanisa au afanye siasa maana anatuhuma Sana za kuzalisha wake za watu. Halafu anatumia madhabahu kuhibiri siasa kitu ambacho ni kinyume.Nachelea kumuamini huyu anayejiita mtumishi wa Mungu.
uhuru fm!!!!
 
Yeye Gwajima alisema ikitokea mtu akamletea usiku katikati ya wiki basi yeye jpili anamuangukia Bashite.
 
Ndio ni kada huyo.
One and all will have to face the reality
Inaonyesha jinsi gani hawa jamaa wanakurupu,yani wanashindwa hata kula na kipofu,hivi kwa jinsi watu walivopanuka kiakili kwa sasa utampelekaje mtu uhuru fm ambayo inajulikana ni radio ya chama akamchafue Gwajima,halafu akiongea anaonekana mchochezi
mo.........the............r f***************
 
Ile movie ya mdogo wake Gwajima imekufa, sasa wanakuja na nyingine ambayo wala haitazuia chochote.
Kwasasa vyeti kwanza ya Gwajima baadae, yaani hata Gwajima akaibe BoT hela yote na kuichoma moto bado watu hawatajali kitu zaid ya kuhitaji vyeti original, huyu muandaa propaganda anawaibia maboss wake tu.
 
Gwajima aende kupima dna kama atasema hamfahamu huyo mama ili aje ajisafishe kwa waumini wake
 
Sawa tutampa ndege moja imsaidie kula Huyo mtoto,radio Uhuru?
 
Movie hii itapotea kama ile ya mdogo wake Gwajima, kwasasa hata Gwajima aiibie serikali hela yote watu hawatajali zaid ya kutaka vyeti vya Bashite
 
uhuru fm!!!!
Haijalishi hiyo habari source ni wapi na wala haihusiani chochote na swala la Bashite hapa tuangalie tu mwenendo wa huyu anayejiita mtumishi wa Mungu.Swala la Bashite libaki Kama lilivyo maana hili haliwezi kucover vyeti vya Bashite.
 
Hivi Uhuru fm Mali ya nani tukijua mmilimki wake basi
1. Uhuru Media no Mali ya chama tawala.
2. Makonda toa vyeti.
3. Ewe uliyezalishwa nenda Ustawi was Jamii. Kutangaza huko kwenye media haina tija kwako, labda kwa 'waliokutuma'
 
Back
Top Bottom