Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Wanamchokoza watapata majibu yake kesho.
 
Mtu kama gwajima anafaa kuwa mtumishi na kuwaongoza kondoo wake na ilhal matendo yake si mazuri kama ni kweli lakini je anafaa kuwaongoza waumini wake au anapiga porojo tu
Mkuu hii ya matendo ya gwajii ni part 2. Part one bado haijaisha mpaka tuone vyeti. [emoji12] [emoji12]
 
Shidaikowap nanihajui kuzaa na kuzalisha hayonimambo yakifamilia Gwajima kamaamempa mimba uyodada its ok ila bashite alete vyeti
 
Gwajima mpokee mtoto Huyo Ila vyeti viwekwe mezani tujue nani ni Yule who is who.
 
Sasa sialikubali mwenyewe? Shida iko wapi? Asitake kututoa kwenye reli
 
huyo dada mda wote alikuw wap had leo ndo anasema huo ni mchez tu ila wajue gwajima ni msomi kwa hizo njama za kitoto bora wangemfanyia mtu mwngne
 
Askofu kakosea kabisa....kwanza amemenjoy huyo dada na pili akamtelekeza bila hata kutuma matumizi ya kulea hio mimba.....

Kwakweli haikubaliki hata kidogo....halafu mtoto copyright Gwajima yani....

Anaifundisha nini jamii? Askofu unalala na watumishi wako Kanisani....haikubaliki
 
Kama hakubakwa sio dhambi kuzaa na Gwanjima lkn pia haiwez kuharalisha vyeti feki vya Bashite.....
 
Askofu gani yaani ni ufuska tu makanisani hii dini sijui inaenda wapiii
 
Vya huyu bwana Bashite havimaliziki, kila siku tutasema afadhali vya Jana.
 
askofu chukua mwanao, ila huyu Jamaa sio askofu kabisa
 
Hilo ndio swali watu wasema alikuwa watu adi Leo anataka Cheti
Huyo mama anleta swaga za kishamba kabisa kwani ni bora angemuona jamaa mwenyewe ili waweze kukubaliana huko na pili, wakati wanakubaliana huko walipokuwa hakuna mtu aliekuwepo yawezekana jamaa alikuwa anapita si unajua tena bhana.
 
anajidai anaongea na familia yake decorated kumbe familia yake original kaitekeleza
 
Things fall apart ya gwajima ipo njiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…