Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Wanamchokoza watapata majibu yake kesho.Tumalize kwanza la Bashite, la huyo mama ni very personal kama hajuwi aelekezwe aende usitawi wa jamii watamaliza issue yake kama jambo lake ni kweli. Lakini hata kwa hisia tu hamna kitu hapo ndo maana kapeleka kwenye hiyo Redio.Na hili swala la Bashite lisipo shughurikiwa mapema, tutashuhudia kila aina ya Ngwala zikipigwa