Ccm wanatapa tapa tu kwani kuzaa na mtu ni dhambi?au alimbaka?Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Kweli kabisa mkuu hiyo ni jambo la makubalianoPamoja na hayo.....hiyo haiwezi kumsafisha Bashite. Period!
Hivi vitu vya kawaida, dawa ni toba. Hawa maaskofu ni binadamu Kama wengine. Anyway, tuendelee na Bashite. Huyu amevunja sheria za nchi na adhabu zake ziko wazi.Askofu kakosea kabisa....kwanza amemenjoy huyo dada na pili akamtelekeza bila hata kutuma matumizi ya kulea hio mimba.....
Kwakweli haikubaliki hata kidogo....halafu mtoto copyright Gwajima yani....
Anaifundisha nini jamii? Askofu unalala na watumishi wako Kanisani....haikubaliki
Hiyo ni mambo yao ya faragha hayatuhusu sisi tunamhitaji Bashite atuwekee vyetiAnadai alikuwa muumini wake. Mtoto ni Gwajima copyright. Anadai alivyomfuata askofu akamtishia kumfunga. Mtoto anaitwa Max
Kosa ni lipi hapo au na wewe ni bashit? Basi mkamshitaki mahakamani afutwe uchungajiAskofu kakosea kabisa....kwanza amemenjoy huyo dada na pili akamtelekeza bila hata kutuma matumizi ya kulea hio mimba.....
Kwakweli haikubaliki hata kidogo....halafu mtoto copyright Gwajima yani....
Anaifundisha nini jamii? Askofu unalala na watumishi wako Kanisani....haikubaliki
Nikweli mkuu baada ya kutoka Arusha kwenye TLS tunaendelea na vyeti vya BashiteGwajima alisema akichokozwa tena wiki hii atafumuka upya hapendi ujinga
Ila kumpa mimba sio kosa la jinai kufoji vyeti ni kosa la jinai ......
Daudi leta vyeti hatujasahau hivyoo
Umtetee usimtetee haitusaidii kitu ili mradi kuzaa na mtu siyo dhambiFrikwensi gani tumsikilizw huyo kada
Kiufupi mimi siwezi kumtetea gwajima katika hili,
Inawezekana alikula tunda... Namshauri tu gwajima amlee huyo mtoto basi.
Ila bashite alete vyeti.
Alimbaka?Huyu binti ni yatima mzaliwa wa Gumanga Kiomboi Singida. Alikwenda kutafuta msaada wa kiroho ndipo akakutwa na mambo hayo.
Haitusaidii kitu hiyo ni kufeli kwa ccmSasa hivi anahojiwa kaka yake na binti.
Huyo Dada kapewa shilingi ngapi kuzusha ufirauni huo?KUNA DADA AITWAE MAMA MAX YUPO KATIKA REDIO UHURU AKITOA USHUHUDA WA KUTIWA UJAUZITO NA KUZALISHWA NA ASKOFU MAARUFU KWA KUDANDIA NA KUROPOKA HOVYO , SASA NA HILI NALO ALIVALIE NJUDA HUKO KANISANI, TAPELI BIN FUSKA MKUBWA
Yap tunahitaji vyetiAkamwambie Bashite alete vyeti kwanza hio tbc/uhuru redio cha chama inatumia nguvu nyingi sana kutetea mtu aliyepata zero
Haituhusu hiyo ni privacy yaoKaka yake alimpigia Gwajima kutaka kujua kuhusu mimba ya dada yake
Hakuna mtu wa kuisikiliza hiyo radio ya ccm95.7 FM