Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Ccm wanatapa tapa tu kwani kuzaa na mtu ni dhambi?au alimbaka?